Hii mechi ya leo inaleta mashaka, wadachi wamepokea pesa kwa mpira waliocheza. Walikuwa wanawapa mipira Man United wafunge na Feyenoord walikuwa wanatembea uwanjani badala ya kukimbia na kukimbiza mpira.
Mou na Man United naona wameamua kuwapatia Feyenoord 20% ya mapato ya T-shirt.