Manchester United (Red Devils) | Special Thread



Almanusura khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ndio mambo ya Ali Hamisi kh kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

35min Wine Romney Manure 1-0 Feyenoord njooni ban mnashinda khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee
 
View attachment 439093

Hakuna cha Belo, inzi, @PRONDO @Eqlpzzzzzzzzzz et all wote wameunyuti
hawana uhakika na Red Cross Tam .... .... ..
Khe khe khe khe heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

jamaaa wamefanikiwa kuingia na flares ...

Acha wanga mkuu,

Wakiongea mnalialia, wakitulia mnalalamika haya endelea kutwanga maji mpaka mwisho niko nawewe hapa.

GGMU GGMU GGMU
 
Hata Nzi leo hayupo kweli Manure wamefulia, Maureen atawatoa kidedea ........ ... ..... .
 
Acha wanga mkuu,

Wakiongea mnalialia, wakitulia mnalalamika haya endelea kutwanga maji mpaka mwisho niko nawewe hapa.

GGMU GGMU GGMU

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee umejitokeza baada ya goli .... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee usitoroke chacha ... .... ..
 
Wacha shombo zako weye...kumbe unafuatilia mtanange?!
Aisee yaani unaangalia na kujificha Wacha ngebe unakuja wakati wakati wa HT baada ya kuona uko na ka-goli ka ngama .... .... .... ... . OK uwe una-update chacha mi naangalia mambo mengine kidogo in 15min ... .... .. Ding .... ..... .. Dong,
 
ex
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee umejitokeza baada ya goli .... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee usitoroke chacha ... .... ..

Hii siyo nyumba ya kupanga mjomba,

Nikimbie hapa nende wapi? angalia tu utakimbia wewe kama ulivokuja..!! Unasema nimekuja baada ya gori? Angalia post zangu hapo juu

Hii siyo nyumba ya Kupanga mkuu
 
ex

Hii siyo nyumba ya kupanga mjomba,

Nikimbie hapa nende wapi? angalia tu utakimbia wewe kama ulivokuja..!! Unasema nimekuja baada ya gori? Angalia post zangu hapo juu

Hii siyo nyumba ya Kupanga mkuu
Chacha kumbe mpira unachezwa tukae kimya basi tukuchubiri wewe kila baada ya 19 minutes, hatari kubwa BTW you aren't one of those Manure fans whom we know, wewe umesingiziwa tu khe khekheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, kazi kubwa!
 
Hii mechi ya leo inaleta mashaka, wadachi wamepokea pesa kwa mpira waliocheza. Walikuwa wanawapa mipira Man United wafunge na Feyenoord walikuwa wanatembea uwanjani badala ya kukimbia na kukimbiza mpira.

Mou na Man United naona wameamua kuwapatia Feyenoord 20% ya mapato ya T-shirt.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…