pamoja na advantage ya alphabet ktk upangaji wa ratiba arsenal huwa juu ya manchester united miaka yote na huwa anaongoza ligi kama kawaida na anaishindwa kuitumia hiyo adavantage ila mwisho wa ligi anaanza kuwa na presha ya kuitafuta top four as if nae ana kocha mpya
Never say Never Liverpool probably thought they will never collapse like Nottingham Forest. Besides Sir Alex and David Gill are not around anymore to buy the trophies.
Never say Never Liverpool probably thought they will never collapse like Nottingham Forest. Besides Sir Alex and David Gill are not around anymore to buy the trophies.
Hivi serious kabisa...katika akili yako ya kimichezo na uzoefu wako wa kufatilia epl ukiweka ushabiki/upinzani wa jadi pembeni unaamini SAF na David Gill walikua wananunua ushindi...??
Hivi serious kabisa...katika akili yako ya kimichezo na uzoefu wako wa kufatilia epl ukiweka ushabiki/upinzani wa jadi pembeni unaamini SAF na David Gill walikua wananunua ushindi...??