Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ha ha haa!..haya hawakuyazoea walikua wanayasikia kwa jirani tu.kutesa kwa zamu
 

Pedro rounds De Gea on his way to scoring the opening goal
 
Nakuelewa Mkuu ila sina hakika Mou kama anakuelewa but hichi ndio kitu ambacho Mou anatakiwa kushtuka mapema, lolote atakalofanya tumeshachelewa, ilikuwa hivi kwenye game na Man City
 
timu bado haijakamilika hatuna wachezaji wenye mipango ya ushindi
 
Mata atakuwa mtoto wa kambo. Pamoja na kuwa mwelevu lakini bado hapendwi na Mourinho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…