Hii timu atakaeharibu ni mou mwenyewe fellaini wa nn hapa uwanjan na alivokuwa fala anaweza mtoa mata anakera sana mou timu nyepes hii lkn anafanya mechi kuwa ngumu
Huwa napenda kusoma comments za sofa experts katika threads za football, hawa watu wapo timu zote na duniani kote. Mpira ungechezwa kwa macho na midomo hakuna timu itakayoshuka daraja
Huwa napenda kusoma comments za sofa experts katika threads za football, hawa watu wapo timu zote na duniani kote. Mpira ungechezwa kwa macho na midomo hakuna timu itakayoshuka daraja
Huwa napenda kusoma comments za sofa experts katika threads za football, hawa watu wapo timu zote na duniani kote. Mpira ungechezwa kwa macho na midomo hakuna timu itakayoshuka daraja