Who is Banter?
Zlatan and Banter
Hahaaa watu wajinga.hahaha hapa nlpo kaa Kuna watu wanaongea ujinga... Rashfod alvyo funga Kuna mjinga hapa anasema huyo mtoto ata kwenye harus ya dadake ajaenda kwaajil ya mpira dadake juz juz tu kaolewa.. Sa naumiza kichwa hapa dadake nan.. Hahaha ety Shamsafod
Who is Banter?
Nakawa man of the mach
Musianze Kujishauwa! Lesta Kwa Msimu Huu Sio Timu Ya Kujipima Ubora Wenu! Nyie Endeleeni Tu Kujipa False Hope Dhidi Ya Pogba na Kumpa Promo Kama Man of the Match! Still Haitowezekana Kuficha weakness Yake hata Kama leo Katupia Kamoja Lakini bado Utupiaji Wa Mechi Moja Hauwezi Kujudge Performance Yake Kuwa imeboreka Ukilinganisha Na Mechi Nyingi Alizoharibu (Poor Performance).
Musianze Kujishauwa! Lesta Kwa Msimu Huu Sio Timu Ya Kujipima Ubora Wenu! Nyie Endeleeni Tu Kujipa False Hope Dhidi Ya Pogba na Kumpa Promo Kama Man of the Match! Still Haitowezekana Kuficha weakness Yake hata Kama leo Katupia Kamoja Lakini bado Utupiaji Wa Mechi Moja Hauwezi Kujudge Performance Yake Kuwa imeboreka Ukilinganisha Na Mechi Nyingi Alizoharibu (Poor Performance).
Musianze Kujishauwa! Lesta Kwa Msimu Huu Sio Timu Ya Kujipima Ubora Wenu! Nyie Endeleeni Tu Kujipa False Hope Dhidi Ya Pogba na Kumpa Promo Kama Man of the Match! Still Haitowezekana Kuficha weakness Yake hata Kama leo Katupia Kamoja Lakini bado Utupiaji Wa Mechi Moja Hauwezi Kujudge Performance Yake Kuwa imeboreka Ukilinganisha Na Mechi Nyingi Alizoharibu (Poor Performance).[/QUOTE
poor performance????? mechi nying mechi ngapi ni mechi 50?? acha wivu mkuu "wewe unataka atupie magoli mangap??? lini Pogba amekuwa mtupiaji wa magoli mengi au kwa kuwa anacheza man u msimu huu povu aliwaishi....Pogba ni mchezaji wa man u Pesa wametoa man u or umewakopesha pesa mkuu...ebu tuacheni kidogo na Pogba wetu....ni man of the match wetu...na wew kampe ballotel wenu uone kama tutakuja jukwa lako kupiga zogo.....
kwendraaaaaaaaaaaa
TungeJana kuna moja pogba kampasia ibra akanywa maji kisha akaunganisha ikapaa juu kidogo nyingine ibra kampasia rashford chumba na sebule dogo akakosa nyingine ibra kampeleke anakotagia kuku nyanda akacheza tungewapa wiki wale.
"At the end we will see"Zlatan: "All the jealous people talking about Pogba will swallow every word they said about him. Because he'll only get better."
Haya yanatimia saiv leista ishakuwa timu ndogo naona mshaanza kufarakana zlatan alishamaliza kitu watu wa mpira wanajua mashabik wa mpira wa tanzania wameua timu yao ya taifa had vilabu vyao chonde chonde msihamie kwenye soka la wanawake leo mtu anakwambia leista sio timu ya kujipima nayo hiv mnafikiriaga wakat mnapost????????
Thats pogba words so its better u go n ask himNot now????