Mnajaribu kumshusha thamani lakin hamtoweza kacheza game 4 tu kuna mechi zaid ya 34 sijui akiwafumua aseno mtakuja tena huku nlipokuwa naangalia mpira mech ya aseno na man united kuna alimdhihak rashford kipind wanaingi uwanjani wajua nn kilitokea::::::: akaja game na city wakasema atapita vip kwa mangala nn kilitokea muda ni kitu rafik