Ngoja tuwaone ila mshukuru Mungu yule Aguero hayuko leo, kukosekana kwake kumeipunguzia majukumu defence yenu maana yule jamaa ni mbaya sana kwenye kuziona nyavu za wapinzani.
Ngoja tuwaone ila mshukuru Mungu yule Aguero hayuko leo, kukosekana kwake kumeipunguzia majukumu defence yenu maana yule jamaa ni mbaya sana kwenye kuziona nyavu za wapinzani.