Newfame JF-Expert Member Joined Feb 27, 2015 Posts 485 Reaction score 1,134 Aug 27, 2016 #49,261 Sio mbaya sana, nilisikitika nilipisikia Rashford yu mbioni kuuzwa au kutolewa kwa Mkopo lakini kwa alichokifanya Leo nna uhakika wa yeye kuendelea kubaki na sasa Morihno atamuamini zaidi
Sio mbaya sana, nilisikitika nilipisikia Rashford yu mbioni kuuzwa au kutolewa kwa Mkopo lakini kwa alichokifanya Leo nna uhakika wa yeye kuendelea kubaki na sasa Morihno atamuamini zaidi
ikhatibu JF-Expert Member Joined Nov 14, 2013 Posts 2,491 Reaction score 2,477 Aug 27, 2016 #49,262 safi sana
Newfame JF-Expert Member Joined Feb 27, 2015 Posts 485 Reaction score 1,134 Aug 27, 2016 #49,263 Young alikuwa na nafasi kubwa ya kucheza kwenye hii match kutokana na aina ya Mchezo wa hull city
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 72,949 Reaction score 102,723 Aug 27, 2016 #49,264 wameshambulia hatari
Bonny JF-Expert Member Joined Feb 21, 2013 Posts 13,370 Reaction score 29,990 Aug 27, 2016 #49,265 mfarisayo said: Rashford anakomaa vizuri akikaza anaweza kurithi mikoba ya Ibra. Ana uwezo mkubwa wa kumilika mpira na kuona goli lilipo Click to expand... Dogo alibadlisha mchezo baada ya kuingia tukawa na speed zaid
mfarisayo said: Rashford anakomaa vizuri akikaza anaweza kurithi mikoba ya Ibra. Ana uwezo mkubwa wa kumilika mpira na kuona goli lilipo Click to expand... Dogo alibadlisha mchezo baada ya kuingia tukawa na speed zaid
Upepo wa Pesa JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 21,786 Reaction score 35,747 Aug 27, 2016 #49,266 Nlikua nishakata tamaa kabisa!!!! huyu dogo ni balaa kweli kweli!!!
Nemesis JF-Expert Member Joined Feb 13, 2008 Posts 5,536 Reaction score 4,532 Aug 27, 2016 #49,267 Huyu Mdogo Marcus awe anapewa dakika nyingi zaidi. Mdogo ni noma.
Papupi JF-Expert Member Joined Feb 3, 2014 Posts 2,029 Reaction score 3,245 Aug 27, 2016 #49,268 Asante sana RASHFORD SALUM JECHA.. hapa sasa hata hii whisky yangu inaeza shuka taratiiiiiiiibu
Newfame JF-Expert Member Joined Feb 27, 2015 Posts 485 Reaction score 1,134 Aug 27, 2016 #49,269 Bado sijui kwa nini hadi Leo kwa nini Morihno hamuamini Andy herera kuwa mbadala wa Matta
Papushikashi JF-Expert Member Joined Feb 28, 2016 Posts 11,350 Reaction score 13,879 Aug 27, 2016 #49,270 Raha tupu
Mbeky JF-Expert Member Joined Jun 3, 2013 Posts 672 Reaction score 520 Aug 27, 2016 #49,271 Sasa naelewa kwanini Mou bado anamtrust Rooney
Ekyoma JF-Expert Member Joined Dec 30, 2015 Posts 2,177 Reaction score 2,805 Aug 27, 2016 #49,272 Mpemba nyoko cjui kama ntaweza kutia mimba tena kwa namna nilivyozibinya izi pumbu leo
Waseme JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 2,611 Reaction score 4,119 Aug 27, 2016 #49,273 Hawa watoto walitaka kututoa nishai hivi hivi.....thanks to Rooney,thanks to Rushford...we are United hureeeeeeeee
Hawa watoto walitaka kututoa nishai hivi hivi.....thanks to Rooney,thanks to Rushford...we are United hureeeeeeeee
Upepo wa Pesa JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 21,786 Reaction score 35,747 Aug 27, 2016 #49,274 boniface salim said: Dogo alibadlisha mchezo baada ya kuingia tukawa na speed zaid Click to expand... ni kweli, hata makitaryn alivyoingia alisaidia sana, kwa kifupi ile sub ilikua ya mwimu sana
boniface salim said: Dogo alibadlisha mchezo baada ya kuingia tukawa na speed zaid Click to expand... ni kweli, hata makitaryn alivyoingia alisaidia sana, kwa kifupi ile sub ilikua ya mwimu sana
sister JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 9,014 Reaction score 6,852 Aug 27, 2016 #49,275 Ekyoma said: Mpemba nyoko cjui kama ntaweza kutia mimba tena kwa namna nilivyozibinya izi pumbu leo Click to expand... Hahaaa watu mma maneno....loh.
Ekyoma said: Mpemba nyoko cjui kama ntaweza kutia mimba tena kwa namna nilivyozibinya izi pumbu leo Click to expand... Hahaaa watu mma maneno....loh.
Ombudsman JF-Expert Member Joined Apr 18, 2012 Posts 3,565 Reaction score 3,735 Aug 27, 2016 #49,276 Maaamaaeee walikua wamebana......
xYz07 JF-Expert Member Joined Apr 13, 2015 Posts 4,077 Reaction score 5,918 Aug 27, 2016 #49,277 mfarisayo said: Bailly bonge beki Click to expand... Partnership ya bailly na blind ni another level
Ombudsman JF-Expert Member Joined Apr 18, 2012 Posts 3,565 Reaction score 3,735 Aug 27, 2016 #49,278 Hii ndio Man Utd ninayoijua
xYz07 JF-Expert Member Joined Apr 13, 2015 Posts 4,077 Reaction score 5,918 Aug 27, 2016 #49,279 Mbeky said: Raha utamuuuuuu Click to expand... Umepotea sana kaka
Wild sniper JF-Expert Member Joined Apr 3, 2015 Posts 4,426 Reaction score 8,726 Aug 27, 2016 #49,280 Nimeshangilia ka chizi dah Rashid makame asante sana