Tunachokifanya ni muhimu sana kwasababu bila kufanya hivo utakuwa kama liverpool au arsenal unajisifu na historia ambayo wakati kiukweli tunaendelea kwenda chini na unaatract less companies kwako na hakuna fan base mpya unayoitengeneza kwasababu ya mafanikio madogo .
Ndo maana Leo watu wanasema liverpool ni timu ya wazee, una ona same situation kwa Newcastle. So , hatutaki kufika huko, ndo maana mi nasuport matumizi ya hela nyingi as long as tumezitengeneza wenyewe.