Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mou kasaini man u miaka mi3 anasajili wazee wa miaka 33 sasa kama si immediately recovery ni nini nawaza kama mtashindwa kudeliver itakuaje mtamfukuza au ndio story
Kwani mafanikio ya kocha yanapimwa kwa kusajili wachezaji wachanga, kubania pesa ya wawekezaji au kunyanyua kwapa mara nyingi? Ibra ana mkataba wa mwaka mmoja tu, na kama ana uwezo wa kutupia golini, hata akiwa na miaka 40, sio inshu.
 
Kwani mafanikio ya kocha yanapimwa kwa kusajili wachezaji wachanga, kubania pesa ya wawekezaji au kunyanyua kwapa mara nyingi? Ibra ana mkataba wa mwaka mmoja tu, na kama ana uwezo wa kutupia golini, hata akiwa na miaka 40, sio inshu.

Na isitoshe kaja bure na ameshauza jezi thamani yake unamnunua Pogba.
 
Kwani mafanikio ya kocha yanapimwa kwa kusajili wachezaji wachanga, kubania pesa ya wawekezaji au kunyanyua kwapa mara nyingi? Ibra ana mkataba wa mwaka mmoja tu, na kama ana uwezo wa kutupia golini, hata akiwa na miaka 40, sio inshu.
zee lile!" .......... labda uwezo wa kutupia goli za gest.
 
Under Mourinho One youngster out, wengine wapo njiani. Kati ya wachezaji wachanga(from academy) walionyesha promising under LVG McNair alikuwa top 5.
McNair hakuwa na kiwango cha kuchezea Manchester, level zake ni Sunderland and he is 21 by now anahitaji playing time but kwenye namba yake tayari kuna smalling, blind, Jones, Bailly na Rojo sidhani kama kubaki hapa kungekua na faida kwake.
 
Great point mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…