Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Van Gaal bado si chaguo sahihi kwa falsafa ya Man U. Mpira wa kufurahisha hadhira hata Wenger ulimshinda.
 
Kwangu Mimi jinsi nilivyoiona first eleven yetu duh!! Moyo ulikuwa unadunda sana na nilijua mvua ya magoli inatunyeshea. Kwa leo inatosha....

Hata benchi hakukuwa na watu wa kubadilisha matokeo.... hii timu siku hizi hasipokuwepo Harrera ninakuwa sina imani nayo kabisa.

LVG inabidi anunue striker mwingine sasa
 
Hahhahhahha cheka tu uongeze siku za kuishi mbona mi naona season hii afadhali kuliko last season,japokuwa tunajikongoja tutafika salama tu.

Dirisha mama.... dirisha lilitisha ati!! Saaa huu mchechemeo unareflect lile dirisha???
 
Hata benchi hakukuwa na watu wa kubadilisha matokeo.... hii timu siku hizi hasipokuwepo Harrera ninakuwa sina imani nayo kabisa.

LVG inabidi anunue striker mwingine sasa

Yaani shida kubwa ni striker aisee!!! Tunabaki tu na ball possession kubwa kuhit mbele zero .......yaani inatia hasira sana basi tu!!!
 
Hata benchi hakukuwa na watu wa kubadilisha matokeo.... hii timu siku hizi hasipokuwepo Harrera ninakuwa sina imani nayo kabisa.

LVG inabidi anunue striker mwingine sasa

Fella boy is there sir ha haaaaa kiruuuu
 
Van Gaal bado si chaguo sahihi kwa falsafa ya Man U. Mpira wa kufurahisha hadhira hata Wenger ulimshinda.

Man utd imezoeleka kushambulia muda wote... watu kuwa wanakimbia muda wote... ila sasa mpira watu wanacheza kwa ku relax kabisa..

Sina tatizo na mfumo huo ila tutumie advantage ya kumiliki mpira sana kuifanya tuwe tuna tengeneza nafasi za kufunga na kuzitumia vizuri
 
Ajabu mpaka sasa hawajafika tuu lol

Haya sasa tumeanza kufika!
Poleni sana aisee kuna vitu vingi vyakufanyia kazi kwenye chama lenu,kwanza nilazima kutengeneza confidence kwa wachezaji,

Nimeangalia kipindi kimoja cha kwanza yani mliniboa mpaka nikaamua kutomalizia mechi.
 
Mpira ni points 3 hayo mengine ni mbwembwe tu.....

Hahahhaha siyo wewe ulikuwa unalalamika tumekuwaje ? Ila hii EPL imevaa kimini wiki hii unapeta wiki ijayo unapotea ,wiki hii ni Arsenal na Man city wanapeta
 
Haya sasa tumeanza kufika!
Poleni sana aisee kuna vitu vingi vyakufanyia kazi kwenye chama lenu,kwanza nilazima kutengeneza confidence kwa wachezaji,

Nimeangalia kipindi kimoja cha kwanza yani mliniboa mpaka nikaamua kutomalizia mechi.

Kwanza kama hautajali... jitambulishe kwanza tujuane tujue tutakujibu vipi

Unatokea halmashauri ipi?
 
Hahahhaha siyo wewe ulikuwa unalalamika tumekuwaje ? Ila hii EPL imevaa kimini wiki hii unapeta wiki ijayo unapotea ,wiki hii ni Arsenal na Man city wanapeta

Nilikuwa nasapoti coment yako mama kuwa kumiliki mpira bila goli haina maana.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…