Manchester United are on course to become the first club to make more than ?500m in a year, according to their latest financial results released on Thursday.
United's total revenue for the three months to the end of this September was ?123.6 million, an increase of 39% on the same period in 2014.
Manchester United announce record first-quarter revenue | Football News | Sky Sports
Kuna mlevi mmoja anaitwa Paul Merson,huyu alikuwa mchezaji wa zamani wa Arsenal. Huyu jamaa ni Sky Pundit na mara nyingi huwa anatabiri matokeo ya mechi za premier league kulingana na anavyoona form ya timu.
Mara nyingi amekuwa akitabiri Man utd wanafungwa na mara nyingi anakosea! Kwa chuki zake huwa anaendelea na utabiri wake njaa huo huo. Sasa kali kuliko zote,ametoa utabiri wa top four. Kama kawaida kaonyesha chuki yake dhidi ya Man utd kwa kusema Man utd hawatapata nafasi ya nne.
Eti nafasi ya nne itaenda kwa Chlesea,huku Man city wakichukua kombe ,Arsenal wa pili na Tottenham wa tatu!
Man Utd and Liverpool won't finish in Premier League top four? Paul Merson predicts... | Football News | Sky Sports
GAMBLING addict Paul Merson has revealed he considered breaking his own fingers to stop him phoning his bookie while at Aston Villa.
And the soccer star, 43, has admitted he later went broke after cashing in his 800,000 pension to go on a betting frenzy.
Merson blew an astonishing 7 MILLION during a colourful career which also saw him battle booze and drugs.
Kuna mlevi mmoja anaitwa Paul Merson,huyu alikuwa mchezaji wa zamani wa Arsenal. Huyu jamaa ni Sky Pundit na mara nyingi huwa anatabiri matokeo ya mechi za premier league kulingana na anavyoona form ya timu.
Mara nyingi amekuwa akitabiri Man utd wanafungwa na mara nyingi anakosea! Kwa chuki zake huwa anaendelea na utabiri wake njaa huo huo. Sasa kali kuliko zote,ametoa utabiri wa top four. Kama kawaida kaonyesha chuki yake dhidi ya Man utd kwa kusema Man utd hawatapata nafasi ya nne.
Eti nafasi ya nne itaenda kwa Chlesea,huku Man city wakichukua kombe ,Arsenal wa pili na Tottenham wa tatu!
Man Utd and Liverpool won't finish in Premier League top four? Paul Merson predicts... | Football News | Sky Sports
Huyu jamaa sio kosa lake..... itakuwa hajapona vizuri matatizo yake
Mkuu naona unamwakia mtaalamu wetu. Huyu jamaa ni kama kompyuta ya lottery huwa anakosea mara chache. Ukumbuke ni pekee ambaye baada ya Moyes kupewa timu alitabiri Man Utd itamaliza nje ya top 4 na ikawa hivyo. Namkubali sana huyu jamaa ni mtaalamu wa haya mambo. Mtamaliza nje ya top 4 kwa mara nyingine tena, lakini nadhani amekosea juu ya Chelsea kumaliza juu ndani ya top 4. Nadhani msimu huu tutaona City na Arsenal pamoja na timu 2 mpya zikimaliza top 4. Manchester United na Chelsea hawana jipya msimu huu hahahahahahaha. Mwenyewe unakubali Man Utd ya LVG ni mzigo.
Hahahahaha inaelekea Waingereza wote wana ugonjwa huu. Si nasikia Michael Owen au mchezaji gani mwingine na yeye si wanasema alikuwa na addiction hii?
Mkuu naona unamwakia mtaalamu wetu. Huyu jamaa ni kama kompyuta ya lottery huwa anakosea mara chache. Ukumbuke ni pekee ambaye baada ya Moyes kupewa timu alitabiri Man Utd itamaliza nje ya top 4 na ikawa hivyo. Namkubali sana huyu jamaa ni mtaalamu wa haya mambo. Mtamaliza nje ya top 4 kwa mara nyingine tena, lakini nadhani amekosea juu ya Chelsea kumaliza juu ndani ya top 4. Nadhani msimu huu tutaona City na Arsenal pamoja na timu 2 mpya zikimaliza top 4. Manchester United na Chelsea hawana jipya msimu huu hahahahahahaha. Mwenyewe unakubali Man Utd ya LVG ni mzigo.
Hahahahaha inaelekea Waingereza wote wana ugonjwa huu. Si nasikia Michael Owen au mchezaji gani mwingine na yeye si wanasema alikuwa na addiction hii?