Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkfungwa sijui LVG na yeye atalialia kama Mourinho jana?
 
Nguvu ya ziada ilishapatikana baada ya mechi jana usiku..

Mimi ninasubili nione mkienda kwao tuone kama utapatikana humu

Hii mechi ya leo inabidi tushinde kwanza ili jumapili tuweke heshima jijini Manchester bila ya kipingamizi
 
Mimi ninasubili nione mkienda kwao tuone kama utapatikana humu

Hii mechi ya leo inabidi tushinde kwanza ili jumapili tuweke heshima jijini Manchester bila ya kipingamizi

Kwao tunahitaji kutofungwa tu. Nina matumaini tunaweza kuwagonga Wagiriki na Wacroatia. Ila nadhani bado tutakuwa na nafasi finyu kupita.
 
Kuna kitu nataka kujua. Hivi hapa JF hakuna thread ya Premier league only? Naona Chelsea, Arsenal, Man Utd, Liverpool, Citey wasipocheza hapa panakuwa jangwa la sahara, yaani hakuna mtu anayeongelea mechi za timu nyingine. Tuwe tuna appreciate mechi nyingine pia sio hizo za top 5 tu.
 



https://www.jamiiforums.com/sports/...pecial-thread.html?highlight=tottenham+thread

https://www.jamiiforums.com/sports/37042-tottenham-hotspurs-thread.html?highlight=tottenham+thread

Kuna wakereketwa wa hizo timu .... uwe unapita kuwaunga mkono wakiwa wanacheza
 
Reactions: Nzi
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…