TEKNOLOJIA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 4,305
- 2,563
His touch has been incredibly shit for a
long, long time now. It's shocking. Na sijajua van gaal anawaza nini juu yake, if i was van gaal ningempa smalling kitambaa cha captain and
drop him in a heartbeat. Like any old racehorse he needs to be
taken out to a quiet field with a bolt to
the head, no point studding him for
future stallions.
Yani kumfunga Bendtner mnataka hongera? Be serious...
Thats rich coming from you....can't even beat lowly Newcastle!!!
EPL titleTitle gani kwa mfano?
Straight up from the inner part of my heart!You remind me of Comical Ally!!!!
EPL title
Kama hutaki sikulazimishi
Yani kumfunga Bendtner mnataka hongera? Be serious...
HahahAha vipi kuhusu Televiv?
What about them...did u see us brag!??
BINAFSI naamin ktk uwezo wa wayne rooney a.k.a baba kai.. naamin hasa anapocheza namba kumi his movement in final third of the pitch ni balaa.. anaunganisha vzr kutoka midfield kwenda ktk attack.. pia pas zake ktk uwanja iwe ni pas ndefu au fup ni za uhakika mno.. sawa anaweza akawa hafung lakn united bila rooney ni wepes mno.. bila shaka mlishuhudia game dhid ya psv hali ilivyokuwa uwanjani.. movement za rooney zinamfanya mata aweze kutamba.. kumbuka mata hapigi chenga ktk winga na kama tujuavyo mawinga ni wapiga chenga wanaokimbia pemben na kutoa cross..lakn kwa mata sivyo.. kwanin mata anatamba? ni kwasababu za movement za rooney my captain.. anachofanya mata ni kuingia ndan ya dimba na kuwa kama secondary namba 10 nakwenda ku occupy space inayo achwa na captain rooney kisha kuassist nakutoa pas murua... wakat huo bek anayemkaba mata anakuwa hajui either amfuate mata ndan au amwache hapo ndipo man u tunapowachachafya wapnzani..
,Rooney anashindwa kumchezesha Martial mpaka inamlazimu dogo kwenda pembeni kuitafuta mipira,ninachokiona ni kwamba chemistry iliyotarajiwa kuwepo kati ya Rooney na Martial has failed to materialize na tatizo ni lake Rooney hivyo inamlazimu dogo alazimishe chemistry kati yake na Mata.Akikabwa sana ataenda pembeni wakati huo Mata ameingia ndani yaani hapa ni kama wanabadilishana.