Kwangu nahisi goli bora msimu litakua LA Benteke amazing.
Ila deep inside my heart Martial got something special ile move ya goli nimemvulia kofia
Hongereni kwa pointi 3 ... Fantastic play
nafasi yetu hiyoEeeh Mungu saidia tusogee kwa kupanda juu na sio kushuka chini.View attachment 286288
Kwa beki kama ya Liverpool hata Zaha alifanya maovu two weeks ago. Itakuwa huyu mfaransa. Kama nilivyosema hakuna lolote hapa, tulishawaona kina Macheda waliishia wapi? Macheda mlikuwa mnamwita next nani vile DonDonald. Bebe naye mlikuwa mnamwita sijui next Black CR7. Muda si mrefu mtaanza kumtukana LVG kwa kumwaga pesa nyingi kwa dogo kama alivyomwaga kwa Di Maria msimu uliopita.
The next flop came in..Tusubiri tuone the confirmation baada ya wiki chache.
Young: "Morgan is the translator but if Martial talks like that on the pitch, thats all we need." #ManUtd
Blind ni kiraka muhimu, CARRICK shujaa asiyeimbwa, mwanzo mzuri kwa Martial, Schweisteiger anaonyesha ukongwe wake, Memphis anahitaji kujifunza zaidi haswa akitokea benchi. Tulistahili Point 3. Glory Glory Man Utd.
Hyu Dogo ana mpira wa Show Game sana sometime anavyocheza utadhani yupo level za CR7 au Messi....Yaani kuja Pale O.T anajiona kama ndio CR7 mpya vile...Na hiyo tar 15 na ndugu zake PSV naomba hata asipangwe....aanze YoungNilimshukuru sana kocha alivyomtoa Depay maana baada ya dakika ya 38 nilikua naimba tu mwenyewe "Depay out" "Depay out" maana dogo alikua anauza sura sana akijisahau kwamba namba ile ni ya kushindania anadhani yupo peke yake alafu kama alijisahau majuku yake