Manchester United (Red Devils) | Special Thread



Nimependa alivyomalizia angeongezea na hiviii chicha ataanza mbele ya rooney au herrera au mata.
 

Hahahahahah, jamaa kweli akili matope, me nmekuletea credble articles kutoka Skysports, sijakuletea "paper talks" za kwenye colums za Skysports, ambazo wanakusanya magazet yote ya siku hiyo...wewe unaniletea "transfer gossip colums za LiverpoolEcho" unaelewa tofauti ya Reputable source na Gossip colums??? Umefungua hizo links ulizonipa na ukaona habari imechukuliwa kutoka wapi?? Au una google tu then una copy link na kuileta humu???

Nmekwambia "reputable sources" unaniletea "gossip colums"..so ukiona rumours za LFC wanamtaka Messi utakubali??? Changamsha akili babu, na ndo tatizo la wabongo wengi sana..wanashindwa kuchambua kati ya Gossips na actual news zenyewe, kila website, e.g skysports, BBC etc zina "transfer gossip na Rumours" ambapo wanakusanya habar zote za siku hiyo, so ukiingia sahiv BBC.com ukakuta Habar za Benzema au Lewa to Arsenal utasema zimetoka BBC wakat zipo kwenye "transfer gossip page" ambapo ni various sources??? Confrimation za skysports huwa zinaanza na "Skysports sources" na BBC ni "BBC sources" asa unakuja kuleta mambo ya "habari mchanganyiko"...bruh!!!!!!

Then kingne unanichekesha unaponiwekea ESPN kama ni reputable sources katika mambo ya usajili....skysports na BBC wakireport habari za usajili kutoka kwenye sources zao ndo huwa tunasema "Transfer is ON" season hii mmemkuwa linked na Zlatan, Philipe Anderson, Cr7, Lewandowsk, Reus etc lakin umeona nimezileta humu, coz hakuna hata reputable source iliyowalink na hawa watu, but we naona unakurupuka kuniltea paper talks na gossip colums za BBC, Sisi LFC ukiachana na skysports (mother of transfer news), Pale BBC tuna Ben Smith, LiverpoolEcho tuna James Pearce, Neil Jones, pia tuna Bascombe, Paul joyce, Dom king, Andy hunter etc...hawa ndo reliable Journals wa LFC news kuhusu kitu chochote kile coz wanapewa habari na LFC yenyewe...sasa wewe unaleta links za paper talks..hahahahah...bruh..
 
Bado watakuja hapa na kusema chelsea katuzidi ujanja kwenye deal la pedro na wakati ukweli unajulikana..

So skysports ni BULLSHITTERS????

Hiyo deal ya Pedro mmepigwa, mtake msitake, LVG hawez kuja kwenye Presser na kusema walishindwa kuconclude deal mpaka Chelsea wakaingilia kati..

Ndo yale yale ya DEPAY, rodgers alivyokana kuwa LFC ilikuwa na interest na Depay, Nzi alipinga sana, sasa LVG anarudia hicho hicho, you cant expect him kuja kwenye presser na kusema player hakuwa interest na move ya UTD..
 
Last edited by a moderator:

Mkuu naomba nitake radhi kwenye huo mstari wa kwanza ndio niendelee kusoma hiyo riwaya.
 
Reactions: Nzi
Naona unaendelea kutoka mapovu sijui kina Pearce,Smith,Bascombe,we know each and everything kwenye issue za usajili wewe endelea kuifuatilia Man United kuliko Loserfool .I know you kwa kuandika pumba against United hujaanza leo na hutamaliza leo ni rest of your life
 
Reactions: Nzi
Mkuu naomba nitake radhi kwenye huo mstari wa kwanza ndio niendelee kusoma hiyo riwaya.
Amepanic achana naye mtu .mwenye akil timamu asingejibu hivyo otherwise ni panic na unanzi wake unamsumbua
 
Reactions: Nzi
Amepanic achana naye mtu .mwenye akil timamu asingejibu hivyo otherwise ni panic na unanzi wake unamsumbua

huyu jamaa Mara ya kwanza kabla sijamjua vzri nilikua namheshimu sana pamoja na lile jukwaa lao nilikua naamini kule kuna watu wanaoujua mpira na wastaarabu, sielewi hata anachobishia in nini. kwenye hyo link ya kwanza kuna sehemu wameandika
Aston Villa are close to signing Barcelona’s
Adama Traore, who has rejected Liverpool
in favour of a move to Villa Park, according
to Sky sources.

bado anasema ni pepar talk wakati wameandika kabisa according to sky source.
 

Hatujawahi kutaka huo uchafu Adam traore,aje acheze wapi huyo yanki:what:, LiverpoolEcho walikanusha vikali hio link, vitu vingine ma agent wa ma players hua wanazusha habari ili mchezaji apande dau
 
Hatujawahi kutaka huo uchafu Adam traore,aje acheze wapi huyo yanki:what:, LiverpoolEcho walikanusha vikali hio link, vitu vingine ma agent wa ma players hua wanazusha habari ili mchezaji apande dau

mkuu huyo mpuuzi wenu ndio kaniambia niwaamini hao, sky, BBC na Liverpool echo, ndio maana nimeiweka hapo.
 
Hatujawahi kutaka huo uchafu Adam traore,aje acheze wapi huyo yanki:what:, LiverpoolEcho walikanusha vikali hio link, vitu vingine ma agent wa ma players hua wanazusha habari ili mchezaji apande dau
Kumbe mnajua ila simetime mnajifanya kama hamjui
 
Hatujawahi kutaka huo uchafu Adam traore,aje acheze wapi huyo yanki:what:, LiverpoolEcho walikanusha vikali hio link, vitu vingine ma agent wa ma players hua wanazusha habari ili mchezaji apande dau

Mwisho wa mjadala,kumbe mnajua hili Mbona sisi tukisema mnakataa......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…