baadhi ya mambo van gaal aliyozungumzia leo kwenye PC yake kuelekea mechi ya kesho na Newcastle;
alivoulizwa kuhusu ishu ya Pedro, van gaal kasema: "I cannot lie, he did fit the profile, but
I never said I was interested. [The media]
said I was interested." lakini waandishi walivomkaomalia kuhusu hii ishu kawajibu hivi "I
cannot answer these questions, you know
that. I have said it before that what we are
doing is a process. In that process we make
decisions and I think when we wanted Pedro
it was not a problem. That is because there
was a clause in his contract, so it was the
easiest transfer. You can write what you want,
but we cannot.
kuhusu kusajili tena kasema "You
have to wait and see. There's no pressure on
me, we have 28 players."
kuhusu Dave kuendelea kukaa benchi au kuondoka kasema "We shall evaluate [the goalkeeper
situation] the first of September."
alipoulizwa kuhusu tetesi za sadio mane van gaal kasema "I cannot answer. I
don't want to interfere. Ed Woodward is doing
that." "I don't think [the fans] have
to doubt Ed Woodward because he has proven
already for many, many years he is the right
person at the right spot."
baadaye kamalizia kusema Bastian anaweza akaanza mechi ijayo.
#GGMU
Unafikiri Chelsea imekua stand Utd ya shinyaga nini?
Akifukuzwa anakuja Utd
Hatumtaki huyu jamaa.
Bado watakuja hapa na kusema chelsea katuzidi ujanja kwenye deal la pedro na wakati ukweli unajulikana..
Hahahahahah, jamaa kweli akili matope, me nmekuletea credble articles kutoka Skysports, sijakuletea "paper talks" za kwenye colums za Skysports, ambazo wanakusanya magazet yote ya siku hiyo...wewe unaniletea "transfer gossip colums za LiverpoolEcho" unaelewa tofauti ya Reputable source na Gossip colums??? Umefungua hizo links ulizonipa na ukaona habari imechukuliwa kutoka wapi?? Au una google tu then una copy link na kuileta humu???
Nmekwambia "reputable sources" unaniletea "gossip colums"..so ukiona rumours za LFC wanamtaka Messi utakubali??? Changamsha akili babu, na ndo tatizo la wabongo wengi sana..wanashindwa kuchambua kati ya Gossips na actual news zenyewe, kila website, e.g skysports, BBC etc zina "transfer gossip na Rumours" ambapo wanakusanya habar zote za siku hiyo, so ukiingia sahiv BBC.com ukakuta Habar za Benzema au Lewa to Arsenal utasema zimetoka BBC wakat zipo kwenye "transfer gossip page" ambapo ni various sources??? Confrimation za skysports huwa zinaanza na "Skysports sources" na BBC ni "BBC sources" asa unakuja kuleta mambo ya "habari mchanganyiko"...bruh!!!!!!
Then kingne unanichekesha unaponiwekea ESPN kama ni reputable sources katika mambo ya usajili....skysports na BBC wakireport habari za usajili kutoka kwenye sources zao ndo huwa tunasema "Transfer is ON" season hii mmemkuwa linked na Zlatan, Philipe Anderson, Cr7, Lewandowsk, Reus etc lakin umeona nimezileta humu, coz hakuna hata reputable source iliyowalink na hawa watu, but we naona unakurupuka kuniltea paper talks na gossip colums za BBC, Sisi LFC ukiachana na skysports (mother of transfer news), Pale BBC tuna Ben Smith, LiverpoolEcho tuna James Pearce, Neil Jones, pia tuna Bascombe, Paul joyce, Dom king, Andy hunter etc...hawa ndo reliable Journals wa LFC news kuhusu kitu chochote kile coz wanapewa habari na LFC yenyewe...sasa wewe unaleta links za paper talks..hahahahah...bruh..
Naona unaendelea kutoka mapovu sijui kina Pearce,Smith,Bascombe,we know each and everything kwenye issue za usajili wewe endelea kuifuatilia Man United kuliko Loserfool .I know you kwa kuandika pumba against United hujaanza leo na hutamaliza leo ni rest of your lifeHahahahahah, jamaa kweli akili matope, me nmekuletea credble articles kutoka Skysports, sijakuletea "paper talks" za kwenye colums za Skysports, ambazo wanakusanya magazet yote ya siku hiyo...wewe unaniletea "transfer gossip colums za LiverpoolEcho" unaelewa tofauti ya Reputable source na Gossip colums??? Umefungua hizo links ulizonipa na ukaona habari imechukuliwa kutoka wapi?? Au una google tu then una copy link na kuileta humu???
Nmekwambia "reputable sources" unaniletea "gossip colums"..so ukiona rumours za LFC wanamtaka Messi utakubali??? Changamsha akili babu, na ndo tatizo la wabongo wengi sana..wanashindwa kuchambua kati ya Gossips na actual news zenyewe, kila website, e.g skysports, BBC etc zina "transfer gossip na Rumours" ambapo wanakusanya habar zote za siku hiyo, so ukiingia sahiv BBC.com ukakuta Habar za Benzema au Lewa to Arsenal utasema zimetoka BBC wakat zipo kwenye "transfer gossip page" ambapo ni various sources??? Confrimation za skysports huwa zinaanza na "Skysports sources" na BBC ni "BBC sources" asa unakuja kuleta mambo ya "habari mchanganyiko"...bruh!!!!!!
Then kingne unanichekesha unaponiwekea ESPN kama ni reputable sources katika mambo ya usajili....skysports na BBC wakireport habari za usajili kutoka kwenye sources zao ndo huwa tunasema "Transfer is ON" season hii mmemkuwa linked na Zlatan, Philipe Anderson, Cr7, Lewandowsk, Reus etc lakin umeona nimezileta humu, coz hakuna hata reputable source iliyowalink na hawa watu, but we naona unakurupuka kuniltea paper talks na gossip colums za BBC, Sisi LFC ukiachana na skysports (mother of transfer news), Pale BBC tuna Ben Smith, LiverpoolEcho tuna James Pearce, Neil Jones, pia tuna Bascombe, Paul joyce, Dom king, Andy hunter etc...hawa ndo reliable Journals wa LFC news kuhusu kitu chochote kile coz wanapewa habari na LFC yenyewe...sasa wewe unaleta links za paper talks..hahahahah...bruh..
Amepanic achana naye mtu .mwenye akil timamu asingejibu hivyo otherwise ni panic na unanzi wake unamsumbuaMkuu naomba nitake radhi kwenye huo mstari wa kwanza ndio niendelee kusoma hiyo riwaya.
Amepanic achana naye mtu .mwenye akil timamu asingejibu hivyo otherwise ni panic na unanzi wake unamsumbua
huyu jamaa Mara ya kwanza kabla sijamjua vzri nilikua namheshimu sana pamoja na lile jukwaa lao nilikua naamini kule kuna watu wanaoujua mpira na wastaarabu, sielewi hata anachobishia in nini. kwenye hyo link ya kwanza kuna sehemu wameandika
Aston Villa are close to signing Barcelonas
Adama Traore, who has rejected Liverpool
in favour of a move to Villa Park, according
to Sky sources.
bado anasema ni pepar talk wakati wameandika kabisa according to sky source.
Hatujawahi kutaka huo uchafu Adam traore,aje acheze wapi huyo yanki:what:, LiverpoolEcho walikanusha vikali hio link, vitu vingine ma agent wa ma players hua wanazusha habari ili mchezaji apande dau
Kumbe mnajua ila simetime mnajifanya kama hamjuiHatujawahi kutaka huo uchafu Adam traore,aje acheze wapi huyo yanki:what:, LiverpoolEcho walikanusha vikali hio link, vitu vingine ma agent wa ma players hua wanazusha habari ili mchezaji apande dau
hawa jamaa toka 2004 ni watu wa msimu huu ni wetu.
Hatujawahi kutaka huo uchafu Adam traore,aje acheze wapi huyo yanki:what:, LiverpoolEcho walikanusha vikali hio link, vitu vingine ma agent wa ma players hua wanazusha habari ili mchezaji apande dau
Mwisho wa mjadala,kumbe mnajua hili Mbona sisi tukisema mnakataa......
Hivi mara ya mwisho Liverpool kuchukuwa EPL ilikuwa mwaka gani?mashabiki wa liva wanaujua sana mpira ni huyu mosdef tu anaewachafulia CV wenzake.
Mwisho wa mjadala,kumbe mnajua hili Mbona sisi tukisema mnakataa......
Hivi mara ya mwisho Liverpool kuchukuwa EPL ilikuwa mwaka gani?