Morgan ana uwezo wa kucheza kama kiungo mshambuliaji na wakati huo huo akacheka kama defensive.
Itategemea na wapinzani watakavyocheza, kama watakuwa wanashambulia muda wote jamaa atarudi kusaidiana na carrick.
Hapo ana role mbili.
Pia, Bastian yupo sub ataingia kuongeza mashambulizi zaidi.