Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Di maria to psg😃😃😃😃😃😃😃😃
 
utaona baca wataweka vitoto!' lakini wenzangu na mimi full vibabu ............ utafikiri ndio final!'

Bacelona 10 Vs Manure 0
 

Mwisho wenu ni 2014/2015......2015/2016 ni #MUFC
 
Adidas????? Since when

Hahahahhaha!!!! Utachekwa na dunia....uko wapi mwenzetu? Hujui timu gani sasahivi yenye udhamini wa nguvu kuliko zote?.. cute b njoo mama watu wanauliza ati tumepata shavu la Adidas lini?
 
Last edited by a moderator:
Hahahahhaha!!!! Utachekwa na dunia....uko wapi mwenzetu? Hujui timu gani sasahivi yenye udhamini wa nguvu kuliko zote?.. cute b njoo mama watu wanauliza ati tumepata shavu la Adidas lini?

Nichekwe na dunia kwa lipi?? Huo udhamini unaanza lini maana mpaka hizi pre-season wanavaa Nike..

After all nilishaachaga kufuatilia mpira tangia msimu uliopita..
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…