Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Hhahaaaaa personal attack zitakuuwa wew.
Hapa ni fake id tuu unamwandama mtu kama vile kakuchoma dole...
Acha upumbavu wew
 
Karibu mkuu, tunasubiri habar zaidi za ndani kutoka kwa mwanahabari wetu herrera

Mwana habari yupo kijijini sijui itakuwaje herrera uje na detail la lile goli la kwanza maana nimejaribu kurudia ile clip ila bado naona kama depay aligusa.
Na kule kwenye ukurasa wao naona wamedhibitisha ni depay nangoja details mkuu
 
Last edited by a moderator:
Nimefurahiaje mamy..
Sasa game lijalo loh mtu na mchepuko akuu nitaangalia matokeo Facebook tuu siwezi kufa presha

Hahahah bila kusahau na wozap na YouTube....dah sijui itakuwaje,ila naskia Messi na Neymar Hawapo,tutawachapa tu.....
 
Hhahaaaaa personal attack zitakuuwa wew.
Hapa ni fake id tuu unamwandama mtu kama vile kakuchoma dole...
Acha upumbavu wew

U should first know the difference btn fake ID and anonymous ID.. Unless you are fake here teh teh teh
 
Hahahah bila kusahau na wozap na YouTube....dah sijui itakuwaje,ila naskia Messi na Neymar Hawapo,tutawachapa tu.....

Kwani neymer bado yupo kwenye adhabu? Au kuna reason nyingine?
Kama hawapo watatutambua.
Hiyo siku mamy weka mb za kutosha tutaangalia kwa kupitia Facebook na YouTube
 
aisee man u kushoto hamna kitu .....huyo blackett ni ushuzz mtupuu .....huyoo marcos rojo ndo mama yanguu weee !! huyoo shaw ndo kabisaa staki ata kusemaa !! angalau young kidogoo anakaza ....ila ndo wale wale ....yaani chongo kwenye kundi la vipofu ....bola ata mechi ilopita van gaal alivomuweka yule pereira uhai ulionekana ...maana ana udambwidambwi flaan amaziingg
 

Asante kwa taarifa
 
U should first know the difference btn fake ID and anonymous ID.. Unless you are fake here teh teh teh

Tangu umeingia hapa asubuhi nashindwa kuelewa umekuja kujadili mpira au umekuja kumjadili cute b?
Kwa nini usijadili mpir? Acha mambo ya kike wew hapa ni soccer tuu bifu zako zimezee tuu maana ata kunizima huwezi hagagagagaaaaaaaaaaa
 
Duuh sikuifatilia mechi lakini naona vijana wameshinda 3 moja.. vip mpira ulikuaje kwa upande wetu? Cc everlenk cute b

Kwa kwli mimi naona ulikuwa poa na wamecheza na Earthquake kama vile Manchester na ndnda fc.
Hahahaaa ni magoli tuu halafu vijana wali relux sana
 
Last edited by a moderator:
Kwa kwli mimi naona ulikuwa poa na wamecheza na Earthquake kama vile Manchester na ndnda fc.
Hahahaaa ni magoli tuu halafu vijana wali relux sana

Safi sana, sasa hilo goli moja walilipataje au ndo tatizo letu lile lile la beki?
 
Kwani neymer bado yupo kwenye adhabu? Au kuna reason nyingine?
Kama hawapo watatutambua.
Hiyo siku mamy weka mb za kutosha tutaangalia kwa kupitia Facebook na YouTube

Wanamalizia likizo zao mumy...Hahaha mumy siku hiyo usipime kifurushi bila kikomo FB na Wozap zitakoma....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…