xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,918
RRONDO JOAQUEM, EVERLENK, BELO, na wadau wengine hebu achaneni na huyo mpuuzi ENZO yes mpuuzi maana hana analolifanya zaidi ya kutafuta umaarufu jukwaani, mbaya zaidi nanyie mmekubali kumpa sapoti, lampard aliondoka kwao ana miaka kibao kaenda man city huyo huyo kawanyima point 3 kwa goli lake LA kusawazisha, yes man utd tumenunua kibabu so we unataka nn? mda mwingine utajiona unafurahisha jamii kumbe unachekesha, nenda jukwaani kwako kadiscuss na wenzio kwann timu yenu haina uwanja hadi leo hii sio kuja kutupigia kelele za kutaka umaarufu hapa, darmian 25, Morgan 25, de pay 22/21 hao wote hujawaona? mourren anavomsajili falcao huoni, IDIOT YES YOU ARE IDIOT,