Aliwafikisha fainal ila kwa awamu mbili za mwisho zote akakosa, yule kidogo timu aliiweza.
Wakampa mwehu Moyes, akapeleka timu nafasi sijui ya 7, hata leo Man U kuwa hapa ni neema tu ya mungu. Watu walijua wanatakuwa nafasi ya 14-15 harafu msimu ujao ndo itashuka daraja kabisa.