Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Monk well done
 

Attachments

  • 1424538018491.jpg
    42.1 KB · Views: 117
LvG ana mapenzi ya dhati kwa jamaa...yaani jamaa hakuwa fit...ni heri kugamble na Falcao kuliko mtu aliyekuwa majeruhi...

Kwa uelewa wangu mdogo wa elimu ya mpira sub ya mabeki hua haina tija sana kwenye timu, sikuona kwa nini kocha asiwaanzishe Young na Valencia au mmoja wapo nyuma kwani wamekuwa na impact kubwa kwa timu. Sehemu ya mabeki ndo imekuwa ya kufanyia majaribio na sub kila siku, sub zenye tija ni kwenye viungo na washambuliaji sio mabeki
 
LvG ana mapenzi ya dhati kwa jamaa...yaani jamaa hakuwa fit...ni heri kugamble na Falcao kuliko mtu aliyekuwa majeruhi...

Kanyaboya Continues. Watu wanajivutia mishiko kwa raha zao. Nasikia LVG atapewa £250M msimu ujao kuongeza magarasa mengine kama Brendan Rodgers hahahahaha
 
Kanyaboya Continues. Watu wanajivutia mishiko kwa raha zao. Nasikia LVG atapewa £250M msimu ujao kuongeza magarasa mengine kama Brendan Rodgers hahahahaha

We sema tu hivyohivyo wakati Man City ilipokuwa inatumia hela nyingi kununa wachezaji Ferg alikuwa anawaponda leo Man City imekuwa juu ya Man Utd. Sasa ndo tunakumbuka kununua na Arsenal ni hivyohivyo itafika wakati mtatumia tu hela nyingi
 


"This idea that Manchester United are lucky is wrong. Luck expires in an unbeaten run after 3 or 4 games. One defeat in 19 is not luck." Gary Neville
---
We are now entering the squeaky bum time and United needs every 3 points from every game. Let's stand up and be counted. There can be no doubt. There can be no wavering. We are Manchester United fans and we fully support our team, because that is what counts.
---
Please share this with every Manchester United fan you know. #mufclive #GGMU #uniteddamu
 
Khe khe kheeeeeeeeee kheeeeeeeeeee



CC: everlenk

cheka unenepe mwaya unadumu nayo this week only,usingekuja hapa walah....hongera kwa ushindi,nakubali nimeshndwa leo ndo soka hilo but i will make it next
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
LvG ana mapenzi ya dhati kwa jamaa...yaani jamaa hakuwa fit...ni heri kugamble na Falcao kuliko mtu aliyekuwa majeruhi...



Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Wacha uongo Van Gaffe alikwisha maliza subs zake ....... . ... khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nachikia Young Diver ndiye defender anayetegemewa ... .... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Aseno wanafurahia lakin ukwel wanaujua goli la kwanza penat ya kubebwa la pil offside ya welbak. Ila yote ndo mpira tukutane mech ijayo.
 
We sema tu hivyohivyo wakati Man City ilipokuwa inatumia hela nyingi kununa wachezaji Ferg alikuwa anawaponda leo Man City imekuwa juu ya Man Utd. Sasa ndo tunakumbuka kununua na Arsenal ni hivyohivyo itafika wakati mtatumia tu hela nyingi

Arsenal hatutanunua wachezaji kijinga jinga hivyo (labda baada ya Wenger). Policy yetu ni kupandisha wachezaji toka Reserve.
 
Ndiyo maana nakupenda weye always on the positive side hata kama umeshindwa bado hutalalama kama akina nanihii lol!!! Pole zako usisahau kuvunjika kwa koleo si mwisho wa uhunzi, ila huyu LVG abadilike au hatakuwa na maisha marefu kwa mwendo wake huu wa kusuasua na kutaka kufanya majaribio yasiyokuwa na kichwa wala miguu.

cheka unenepe mwaya unadumu nayo this week only,usingekuja hapa walah....hongera kwa ushindi,nakubali nimeshndwa leo ndo soka hilo but i will make it next
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…