Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mbona kimya humu ndani? Mnaangalia upepo ukoje au. Msiba wa jirani huu, ngoja tujongee!
 
Hivi young kapewa fadhila kwa kucheza vizuri beki au?

Unajua kwa mfumo wa LVG wa kuchezesha beki wa kati watatu, unamfaa sana Young coz anapanda na kushuka vizuri sana.
Anarudi kukaba kwa haraka na ana kasi ya kupandisha mashambulizi.
Ova
 
Hii mechi ya leo ni ngumu sana kwetu, kuna umuhimu wa kuwatangulia goli za kutosha, hili moja wala halitoshi. Maana pale pale kati kama wametupoteza hivi.
Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…