Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Safiiiiiiii!! Nyie ni timu nzuri sana basi tu ufundi ndo hamna,huwa nafurahia sana nikiangalia games za Arsenal maana unapata burudani isiyo na kifani.

Wenger bahili sana... soon sanchez atachoka mana macho ya kocha na mashabiki yote kwake
 
Tupa kule Wenger!!!! then we can compete at the highest level with any team on this planet.

Kweli wenger asingeanzia sub mngekuwa na magoli mengi mno... Sindio mfungaji wenu bora???

#JusKidding ila mmecheza vizuri BAK na De Gea katubeba saana tuu with his saves
 
Last edited by a moderator:
Dogo Degea kipa bomba sana kaokoa jahazi leo, bila yeye na katika baadhi ya mechi za nyuma mngekuwa bado mko chini sana.

Kweli wenger asingeanzia sub mngekuwa na magoli mengi mno... Sindio mfungaji wenu bora???

#JusKidding ila mmecheza vizuri BAK na De Gea katubeba saana tuu with his saves
 
Dogo Degea kipa bomba sana kaokoa jahazi leo, bila yeye na katika baadhi ya mechi za nyuma mngekuwa bado mko chini sana.

Hakika.. Na ikitokea kama kuna ukweli wakawapa Madrid itakua uongozi unaumwa ugonjwa hatari zaidi ya hata hii ebola...
Pia nasikia mnataka mrudisha Henry kubeba mikoba ya Wenger hiyo kweli au nazo ni tetesi tuu??
 
Hakika.. Na ikitokea kama kuna ukweli wakawapa Madrid itakua uongozi unaumwa ugonjwa hatari zaidi ya hata hii ebola...
Pia nasikia mnataka mrudisha Henry kubeba mikoba ya Wenger hiyo kweli au nazo ni tetesi tuu??

Labda yeye atake kuondoka kwa mapenzi ya kucheza kwao. Lakini kama ni pesa, naamini atamwagiwa anazotaka.
 
Tumezipokea Ntuzu
Tunashukuru pia kwa pongezi...
15 matches with a single win!!

"Arsenal ni mwanamke unamsitiri kanga wakati hajavaa nguo ya ndani"



Mpk mwishoni mwa December itakua

1. Chelsea

2. Man City

3. Man Utd
 
Last edited by a moderator:
huyu dogo mcnair ni kifaa cha uhakika...! leo tena kafaulu mtihani mgumu sana

 
naona jamaa mpira uliwashinda wakaanza kupiga vichwa!!! angefanya Fellaini ile issue refa angetoa red card haraka sana!!

 
mwanaume anakuja nyumbani kwako anakutandika mbele ya mkeo....

 
Tusipo endelea kuwapoteza key players, UTD itakuwa juu ya City...
Nakuhakikishia hilo.



Kiukweli Liverpool na Arsenal zimekua zinaporomoka kila mchezo na Man City imekua ikizorota na kushinda kwa shida sn wakati huo huo Man Utd mmekua mkiimarika kila mechi...! Kwahiyo mnaweza mkawa juu ya Man City.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…