Duh!! One mistake one goal.....lakini game tumeicheza vizuri bahati haikuwa yetu,penalty za wazi nazo tumenyimwa....anyway ndo mpira huo,bado nina imani tukitulia tunaweza fanya makubwa.
Mmezoea mbeleko..penati za nini? Fukuzeni kocha nyie
Tinaona kuna Rojo moja kabebwa hapa
khe khe he khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mmezoea mbeleko..penati za nini? Fukuzeni kocha nyie
nikimbie nini?? tumepoteza mechi lakini at least timu imeonyesha fighting spirit....wewe ulienda ETIHAD ukatoa draw tena man city walisawazisha wakiwa 10 nyinyi 11.....
Nilijua Utakuja Baada ya game kuisha.....!
nikimbie nini?? tumepoteza mechi lakini at least timu imeonyesha fighting spirit....wewe ulienda ETIHAD ukatoa draw tena man city walisawazisha wakiwa 10 nyinyi 11.....
ila ukweli ukoje?
ukweli ni huu. LVG alimuhitaji Evra abaki angalau kwa msimu mmoja ili kumpa mwongozo Luke Shaw hivyo aliruhusu mkataba wa mwaka mmoja but Evra aliona hajathaminiwa sababu alihitaji angalau mkataba wa miaka miwili na hicho amekipata alikokwenda. Na si kweli kwamba LVG alimuuza kwa kupenda.
Ridicolous......ATR/T
serious tunaanza kupata pace yetu, timu inaimarika kila kukicha.
In Van Gal We can hope
GGMU