Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Okay...nafikiri Rooney atapiga namba 8...9 na 10 El tigre na RvP...
 
Hahahahahaha lol!!!! Naona leo mmepata la kuongea mbona hutaki kujibu swali langu bhanaaaa!! Ni aje Mkuu? Naona bado hamjatimia lakini wengi bado wako msituni kwa sababu wanaona ushindi huu si wa kujivunia. Hata hivyo BAK anasema hongereni sana. Mmejitahidi sana leo hatimaye mmepata points tatu za kwanza katika msimu huu wa 2014/2015 🙂🙂🙂

Khe khe khe

BAK upoo??
 


Asante mkuu.
 
Reactions: BAK
Masikini rio, amekuja kuaibishwa nyumbani kwake kwa zamani
 
Bulldog yeah RVP inabidi afunge goli ili arudi kwenye hali aliyozoea ya kutikisa nyavu
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Nzi
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…