Nasubiri lineup ya mechi ijayo.
Baada ya hizi international friendly, Falcao atakuwa amesha-settle in.
am hapy kukuona klabuni leo.
najua bado tuna nguvu
Kwa hiyo Van Persie ndo hivyo tena? Nilidhani Blind kanunulia ili awe anamwagia mipasi ili awe anafunga magoli ya kupaa kama lile alilofunga world cup?
Halafu naona nae machale yamemcheza kadai haitaji kufanyiwa operesheni goti lake na haitaji time-off. Kasema he is looking forward to play with Falcao halafu hata kwenye lineup yako hayumo?
Kasema "Falcao must fight for his place, as I also have to. We must duke with Wayne Rooney and James Wilson to see who's playing." Can't wait to watch this fight.
Robin van Persie dismisses surgery talk and will fight for place with Radamel Falcao at Manchester United | Mail Online
Mourinho alitaka kumpa Rooney the greatest escape akadengua. Now atakuwa anacheza kama winger au Mata apigwe benchi.
well hope lucky is will be at on our side lol!!
Hahahahaa.
Zamani Man Utd kushinda ilikuwa guaranteed.
Lakini siku hizi ni ku-hope tuu things to be on their side.
And this is coming from Man Utd supporter.
Imekua bora ata ya Arsenal
Ha ha ha ha team yenye majina ya ajabu km vile Nani kagawa Urojo kwa Di maria.
Imekua bora ata ya Arsenal
Ha ha ha ha team yenye majina ya ajabu km vile Nani kagawa Urojo kwa Di maria.
lait ungelijua kukarr ndo mwanzo wa kuelewa bac ucngethubutu kusema hvyo, lakn kwakua ww ni tahira na mvvu wa kufkir ukazan 2ko sawa!!!!Tahira kweli
utakarir hadi lini!??
huyo nae kiazii kweli cjui katokea wapi teeeena naona baada ya usajili wamenyamazaaa kabisa maana kulichafuka humu ndani hivi kwa nn man u hatupendwi hiviiii:wacko:
success....