Nafikiri tunahitaji mtu wa kucommand kwenye back line..experienced one..a leader..mwenye karba ya Vidic..kama tungampata Hummels ingelikua poa sana..timu sio mbaya sana...sema kuna matatizo madogo madogo wa kiufundi nafikiri kocha kayaona...
Nani na Fellain hawafit kwenye timu yetu..mipira ya mwisho ilikua haifiki kwa Rooney..I think it's a right time to finalize Vidal's deal sasa..Januzaj anatakiwa aache utoto kwenye serious games otherwise bring in Di Maria..
#GGMU