Wakati mwingine Wenger huwa anatoa madai ya ajabu sana.....QUOTE]
Mkuu, Wenger anapofungwa au kutoa draw huwa anakuja na maneno yasiyoeleweka kabisaaaa, dalili flani za kuchanganyikiwa.
Arsenal alipobamizwa 3 kwa mtungi na Chelsea, alisema ati hakuona kitu chochote alichofanya Drogba uwanjani na ati vijana wake walimdhibiti vizuri!
Sasa mtu amepiga gori mbili na ameleta confusion mpaka mnajifunga gori la tatu bado Wenger haoni alichofanya mtu huyo, kama si kuchanganyikiwa ni nini?
well its true! na am not sure kama ni Wenger peke yake! and to be honest si kama namtetea! Fergie msimu huu pia amekua mlalamishi sana, (but wanazi wa man utd hawaoni hilo) huyu mzee kila mechi anayofungwa ama kutoa draw ni kelele tu, even mechi ya juzi juzi tu waliofungwa na Villa alisema eti time management ilikua mbovu. na hivi bado anakesi ya kuwazodoa marefa!
ofcz i knew hii thread niliweka nikijua wanazi wa man utd will never accept anything, hata pale panapofuka moshi