Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Vp wakuu jumatatu tutatoka kweli maana hawa jamaa mechi ya mwisho kuwafunga OT ni hii
 

Attachments

  • Screenshot_20251212_122918_FotMob.jpg
    11.3 KB · Views: 6
Anajua sema chapombe Sanaa dogo anakunywa Sana pombe ndio maana anarud sana wodin
 
Anajua sema chapombe Sanaa dogo anakunywa Sana pombe ndio maana anarud sana wodin
 
Man u Bado kasoro ndogo sana iwe timu ya ushindani ulaya
Kiungo na beki...
Kocha nahisi anawaza kutengeneza kiungo
Beki udhaifu ni kidogo sana plus tuna upcoming world class CB kama heaven na yoro.
Team inatoa matumaini.
Amorin anatuvusha
 
Kiungo na beki...
Kocha nahisi anawaza kutengeneza kiungo
Beki udhaifu ni kidogo sana plus tuna upcoming world class CB kama heaven na yoro.
Team inatoa matumaini.
Amorin anatuvusha
Mwantesa ninained wanakosa utulivu na ustadi kwenye finishing, angalau kwenye space coverage kwenye kukaba ime improve lakini changamoto ndogo ni kumalizia, hakuna umakini kabisa.
 
Kiungo na beki...
Kocha nahisi anawaza kutengeneza kiungo
Beki udhaifu ni kidogo sana plus tuna upcoming world class CB kama heaven na yoro.
Team inatoa matumaini.
Amorin anatuvusha
Ila kwa upande wa Heaven sina imani na huyu dogo kwenye ulinzi. Yani kama alivyokuwa Tuadzabe.

Na muombea Mbuemo (em-mbomoo) afunge gold.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…