Siku mkisikia tu Sir Alex Ferguson kavuta basi msimu huhuo ndio tunabeba Epl.
Tutabadilisha makocha na makocha midhali SAF bado anapumua tusahau kabisa kuhusu hili kombe.
Siku mkisikia tu Sir Alex Ferguson kavuta basi msimu huhuo ndio tunabeba Epl.
Tutabadilisha makocha na makocha midhali SAF bado anapumua tusahau kabisa kuhusu hili kombe.
Antony Masebene na Real Betis yake wanajipigia tu kina Madrid huko.
Ila akija United anaonekana takataka, mi nakwambia uchawi tuliorogewa ulipitishiwa kwa huyo babu, siku ukisikia SAF amevuta ndio siku tunakua rasmi tumetoka kifungoni.
SAF kwa sasa ni sawa tu na hirizi inayopumua.
Nyie nyumbu!! Kuendelea kumtumia Eriksen kuna tofauti gani na ccm kuendelea kumtumia mzee wasira,
Mwacheni huyu mzee apumzike. Kwani hamjui kwamba anatembea na betri?
Utd hatuna goli kipa saves ambazo De gea alikuwa anafanya ni nadra kuona Onana akifanya na hii ndio sababu tupo nafasi mbovu. Uongo mbaya De gea alikuwa anatubeba sana na timu yetu mbovu ETH katuleta tatizo lingine.
Utd hatuna goli kipa saves ambazo De gea alikuwa anafanya ni nadra kuona Onana akifanya na hii ndio sababu tupo nafasi mbovu. Uongo mbaya De gea alikuwa anatubeba sana na timu yetu mbovu ETH katuleta tatizo lingine.