Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona nyumbu mnarejea kutoka hospitali 😂 anyway hili game mnashinda mbuzi nyie.
 
Kumbe huyu kocha ni mjinga kiasi hiki. Baada ya red ya Dorgu kwa njia yoyote alitakiwa amtoe HUJLUND au ZIRKZEE wanaorukaruka pale mbele hata hawajui wanafanya nini. Badala yake anamtoa Garnacho ambaye ni hatari sana akiwa huku kushoto na siku hizi ame-improve kwa kross chonganishi. Jinga sana hili kocha kumbe.
 
We punda si ulisema zakaria kakobe ni bonge la mchezaji
 
Kocha ana kiwewe, hii timu itampa kichaa. Hii ya kumtoa Garna tena haraka haraka wakati angeweza kusubiri kipindi cha kwanza kiishe maana zilibaki dakika chache, hata mimi imenishangaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…