Inasikitisha sana aiseee
Ila kuliko kuisema Man U kuna mambo mengi ya kimaendeleo tunaweza kuyafanya, mfano tu wengi wenu humu hamjui kutengeneza alkasusu, kwanini msitumie muda huu kupata huo ujuzi? Kikombe kimoja cha alkasusu kinauzwa buku, haya ukiuza chupa zako 5 kwa siku utashindwa kujenga?
Man Un ited - The Red Devils ilishuka daraja msimu wa 1973-74 walipomaliza katika nafasi ya 21, wakiwa na pointi 32 pekee kwenye jina lao.
Je msimu huu ndio unajirudia kushuka daraja kwa point 32 au chini ya hapo
Bado kuna mechi 13 za kupambana
Pambaneni bwana mtazihaibisha timu za top 10