Haw machezaji wanapokea mshahara mkubwa ila wanavyocheza ni aibu kuwatazama ni kama wapo championship. Wacgezaji hawawezi kupiga hata chenga 2 wanapoteza mpira halafu kuna watu wamefanyiwa sub nawaona benching eti wamenuna utadhani wanaumizwa na matokeo.