Magoli yote yamefungwa kwa miscalculations za kipa wa spurs hakuna goli lililotokana na move wala created chances. Halafu mtu anakwambia sasa hivi tuko vizuri π π
Magoli yote yamefungwa kwa miscalculations za kipa wa spurs hakuna goli lililotokana na move wala created chances. Halafu mtu anakwambia sasa hivi tuko vizuri π π
Ndio maana wanaitwa manyumbu, watu wasiojua mpira ndio watA shangilia yale magoli. Kwa yale magoli waliofunga hawana timu na hakuna improvements zote zote pale.
Tafuteni makipa wa kueleweka, Onana mumuuze, ganacho na rashfod, dalot, wote hao muwauze na Antony piga bei. Yule Amad Dialo hakuna mchezaji mule anapita na upepo tu na ni swala la muda mtakuja kushituka
Tafuteni makipa wa kueleweka, Onana mumuuze, ganacho na rashfod, dalot, wote hao muwauze na Antony piga bei. Yule Amad Dialo hakuna mchezaji mule anapita na upepo tu na ni swala la muda mtakuja kushituka
Tafuteni makipa wa kueleweka, Onana mumuuze, ganacho na rashfod, dalot, wote hao muwauze na Antony piga bei. Yule Amad Dialo hakuna mchezaji mule anapita na upepo tu na ni swala la muda mtakuja kushituka