the palace
JF-Expert Member
- Jan 11, 2018
- 365
- 1,081
FinishedNatamani kesho kumuona mwana wa nyumbani akikanyaga nyasi za "The Theatre of Dreams" angalau kwa dk kadhaa tu.
Mbwana Samatta, shabiki lialia wa Manchester United kesho atakuwepo matofali ya kuchoma.
Rashford, Garnacho na Bruno wanapaswa kuwa wachezaji wa akiba ndio wanaokwamisha project ya timu na kama huyu kocha anayekuja akiwaintertain na yeye ataonekana kama Gamondi tu na watamfukuzisha.Rashford na garnacho wanapokezana kutuchaganya, yaan akipona huyu mwenzake anapokea.
Lakini tutafika.
Na usajili mzuri inakuja.
Hata Bruno piaSiku Rashford akiondolewa United, nitafurahi sana kwa kweli.
Amorin akiwa anampanga regularly, nitajua naye hatakuwa na jipya kama akina EtH tu.
Huo mgomo kwa makocha zaidi ya 3 kwann hao wachezaji hawa ondolewiTen hag hakuwa Mwl mbaya tatizo wachezaji waliamua kamgomo baridi.Hii shida imekuwepo kipindi kirefu sana hasa kwa wachezaji seniors.
Hilo ndio tatizo kubwa sana.Huo mgomo kwa makocha zaidi ya 3 kwann hao wachezaji hawa ondolewi
Sasa wachezaji wanagoma tuu makocha watafukuzwa mpka linHilo ndio tatizo kubwa sana.
Mchezaji kama Rashford alitakiwa kuuza siku nyingi.
R.R aliwaambia wawaaondoe wote kosa la ten hag ni kumbakisha Rushford,dalot,Bruno.Designer wa statements hizo yupo vizuri. Ambacho hatujui ni kama biashara ya kuajiri makocha itaishia hapa au itaendelea. Maana shida nyingine kubwa ipo kwa wachezaji. Wanafanya kama migomo hivi. Amorim aondoe wote, aache akina Amad tu.
Kosa lake hapo ni Rushford na Bruno.. hawo wengine aliishawawea benchTimu bado ina rashford,evans ,eriksen ,lindelof 😂😂badilikeni pimbi nyie mna ng'ang'ania wachezaji