Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Guardiola alifanya kosa kubwa sana kuwaruhusu wachezaji wake wakalewe na kugonga mademu.

Hii inanikumbusha wayback school days mara nyingi nilikuwa nikishafanya mitihani nakuwa najiona nimeshamaliza Kila kitu ukija kuambiwa Kuna class unaona muchosho tu .

City alishamaliza shule wiki iliyopita na mtihani wa mwisho, sherehe ya graduation wakafanya Leo unawaambia Kuna mwalimu wa maths ana kipindi unategemea nini.
 
Mna
Mnajiteteaje. Kwa kufanya master bastion mech bado dkk 45
 
Hao dada zenu Man115ster City bila kubebwa na kuhonga marefa hawana lolote. Bahati mbaya kwao ni kuwa nyie mnapendwa zaidi yao na marefa, mnabebwa zaidi yao na marefa na mnahonga zaidi yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…