Tecno hata unipe bule naweza nsichukue au nkaenda mgawia beki tatu.ila hongera yao piaHabari wandugu..
Sisi tunaopondaga Tecno Kwamba Ni Simu Local Na Ulaya Haifahamiki Tumeumbuka Sana Leo..
Kufupi Tecno Leo Wameingia Partnership Na Timu Tajiri Ulaya Ya Manchester City..
Sidhani Kama Wangeingia Partnership Hiyo Kama ulaya Hawaruhusiwi..
Chief-Mkwawa
mkuu hata azam wana mkataba na manchester united na liverpool ila hawaonyeshi hata mechi moja ya epl/uefa (ukitoa 3rd party tv)
hata waingie mkataba na trump haibadilishi maana wanatumia soc za mediatek, camera mbovu, ram zilizo slow, simu zisizidumu nk.
technology huzungumzwa na fact na sio PR za marketing
Maneno tuuu acha kujikwezaTecno hata unipe bule naweza nsichukue au nkaenda mgawia beki tatu.ila hongera yao pia
Watu wanaotumia Tecno wako desperate sana.Katika ubora wako Mkuu,
Well said, hasa hiyo sentesi ya mwisho..
Siku akiacha kutumia tecno ndio utajua kawa ulikuwa unateseka. Ntatumia tecno siku nikiwa sina uwezo wa kumiliki aina nyengine ya simu.Mambo ya wajuaji wa jf. Sisi wengine huwa tunapita tu kwenye mada za kufikirika. Natumia Techno sina matatizo nayo