Manchester city yasherekea ushirikiano wakimataifa na tecno mobile

msafwa93

JF-Expert Member
Jul 2, 2011
4,754
5,863
Habari wandugu..
Sisi tunaopondaga Tecno Kwamba Ni Simu Local Na Ulaya Haifahamiki Tumeumbuka Sana Leo..

Kufupi Tecno Leo Wameingia Partnership Na Timu Tajiri Ulaya Ya Manchester City..

Sidhani Kama Wangeingia Partnership Hiyo Kama ulaya Hawaruhusiwi..

8f764beb1dc7e62ce779e97463ff9825.jpg


46214c58e7ed171ce2f3d1ec17d3b6e9.jpg


77174d8b61eb81fcfb677c4763288109.jpg


64a63658b14fd448c842cdb653e045da.jpg


26a9f9c59cfed7b0f4022b6454a7a842.jpg


c404f1f6f00556bb2a348b76a2f6405d.jpg



Chief-Mkwawa
 
Habari wandugu..
Sisi tunaopondaga Tecno Kwamba Ni Simu Local Na Ulaya Haifahamiki Tumeumbuka Sana Leo..

Kufupi Tecno Leo Wameingia Partnership Na Timu Tajiri Ulaya Ya Manchester City..

Sidhani Kama Wangeingia Partnership Hiyo Kama ulaya Hawaruhusiwi..

8f764beb1dc7e62ce779e97463ff9825.jpg


46214c58e7ed171ce2f3d1ec17d3b6e9.jpg


77174d8b61eb81fcfb677c4763288109.jpg


64a63658b14fd448c842cdb653e045da.jpg


26a9f9c59cfed7b0f4022b6454a7a842.jpg


c404f1f6f00556bb2a348b76a2f6405d.jpg



Chief-Mkwawa
Tecno hata unipe bule naweza nsichukue au nkaenda mgawia beki tatu.ila hongera yao pia
 
Tecno sio simu feki. kinachozuiwa Ulaya ni products feki. Tecno ni low grade smartphone kama itel na nyinginezo. Kwa hiyo kuingia mkataba na manchester united ni fursa ya kujitangaza ili kuweza kupenya masoko ya ulaya.
Wakiendelea kuboresha simu zao zaidi na zaidi baadaye wanaweza kutoa ushindani kwa wakongwe kama Samsung, Apple, htc na wengine.
Kila products zina high grade na low grade,mfano Home theatre systems za high grade toka sony au jvc huwezi kulinganisha na rising au kodtec.
 
mkuu hata azam wana mkataba na manchester united na liverpool ila hawaonyeshi hata mechi moja ya epl/uefa (ukitoa 3rd party tv)

hata waingie mkataba na trump haibadilishi maana wanatumia soc za mediatek, camera mbovu, ram zilizo slow, simu zisizidumu nk.

technology huzungumzwa na fact na sio PR za marketing
 
Naona sasa TeamTecno mtaweza kutembea vifua mbele na simu zenu bila kuficha Logo na ma sticker tofauti tofauti... Baada ya miaka 7 au 10 hivi waki invest vizuri wanaweza karibia kina Apple, Samsung, Huawei, ZTE, HTC, Sony, One Plus n.k
 
mkuu hata azam wana mkataba na manchester united na liverpool ila hawaonyeshi hata mechi moja ya epl/uefa (ukitoa 3rd party tv)

hata waingie mkataba na trump haibadilishi maana wanatumia soc za mediatek, camera mbovu, ram zilizo slow, simu zisizidumu nk.

technology huzungumzwa na fact na sio PR za marketing

Katika ubora wako Mkuu,
Well said, hasa hiyo sentesi ya mwisho..
 
Natumia TECNO ntaipenda zaid imenisaidia mambo mengi kimtandaooo,, ntazd kubadlisha kwendana na toleo jipya,, nichohamin,, Samsung ya mwaka 2010 haifanani na toleo la 2015 "" "
 
Mambo ya wajuaji wa jf. Sisi wengine huwa tunapita tu kwenye mada za kufikirika. Natumia Techno sina matatizo nayo
Siku akiacha kutumia tecno ndio utajua kawa ulikuwa unateseka. Ntatumia tecno siku nikiwa sina uwezo wa kumiliki aina nyengine ya simu.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom