uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,999
- 8,386
Mchezaji bora wa dunia muda wote na mshindi wa kombe la Dunia mwaka jana Leo Messi anasemwa kukataa mkataba mpya aliopewa hadi 2025 na nyongeza ya mwaka mmoja hadi 2026.
Watu wake wa karibu wanasema Messi hajawahi kufurahia maisha akiwa na timu ya PSG kutokana na kuendeshwa kienyeji.
Timu nyingi za ulaya zinataka huduma ya Leo Messi ila mwenyewe amechagua kurudi Barcelona au kwenda Manchester.
Vilabu vya EPL kama Chelsea, Manchester United na City na Liverpool vyote vinachezwa mate huku wababe wa Bundasliga wakifika macho.
Ila messi amekasirishwa kuhusishwa na kujiunga na Real Madrid.
Je, ungependa Leo Messi aende wapi majira ya joto?
Mimi nashauri arudi Barcelona akabebe UEFA mmoja aondoke USA.
Watu wake wa karibu wanasema Messi hajawahi kufurahia maisha akiwa na timu ya PSG kutokana na kuendeshwa kienyeji.
Timu nyingi za ulaya zinataka huduma ya Leo Messi ila mwenyewe amechagua kurudi Barcelona au kwenda Manchester.
Vilabu vya EPL kama Chelsea, Manchester United na City na Liverpool vyote vinachezwa mate huku wababe wa Bundasliga wakifika macho.
Ila messi amekasirishwa kuhusishwa na kujiunga na Real Madrid.
Je, ungependa Leo Messi aende wapi majira ya joto?
Mimi nashauri arudi Barcelona akabebe UEFA mmoja aondoke USA.