Naona Ntuzu na Agosti 8 mmekaza lakini bado tupo na kunguru kumnyea mtu sio shabaa ni bahati mbaya tuu!
Naona Ntuzu na Agosti 8 mmekaza lakini bado tupo na kunguru kumnyea mtu sio shabaa ni bahati mbaya tuu!
anyway nawapa hongera pia!
Weraaaa weraaaaaaa chama kubwaaaa Chelsea FC!!!!!!!!!!!!
yuku wapi yule mburula aliyesema kesho atatembea uchi kama Chelsea ikishinda leo? Mods tunaomba mumpige ban ya mwaka mzima asipo timiza ahadi yake ya kimburula mburula!
Naona Ntuzu na Agosti 8 mmekaza lakini bado tupo na kunguru kumnyea mtu sio shabaa ni bahati mbaya tuu!
anyway nawapa hongera pia!
ila haka kazee katakuwa kameenda kuloga kwao huyu lazima kuna mguu wa mtu hapa!
ila sio kila siku ijumaa broo lets wait and see hata ratiba haiko poa ila si kgezo cha kushindwa!Asante sn ila jiandae vizuri mechi ya FA tarehe 15 nakuja tena Etihad! Na ninafikiri safari hii hutokua na maneno mengi!
halafu ulivyoongea utadhani unakuja tu kuuchukua kama vile ulituachia tukuhifadhie!Asante sn ila jiandae vizuri mechi ya FA tarehe 15 nakuja tena Etihad! Na ninafikiri safari hii hutokua na maneno mengi!
ila sio kila siku ijumaa broo lets wait and see hata ratiba haiko poa ila si kgezo cha kushindwa!
sisi tuko fit mda wote! this time hata sisi tutaloga kama cocha wenu hivi anatoka nchi gani tena?na yenyewe imo kumbe?
halafu ulivyoongea utadhani unakuja tu kuuchukua kama vile ulituachia tukuhifadhie!
we ngoja ifike tuone kama mtauchua kiulaini na tutaweka dharau pembeni hatutatumia fimbo maana mnataka kujifanya na nyie ni wakubwa wenzetu, so ni ngumi tuuu na taikondo mixa shaooling!