Manabii wanaokwenda na wakati

Mahmood

Narudia kukuambia huwezi jua uhondo wa ngoma kwa kuitazama!, ingia ucheze!
Ukicheza utaielewa. Lakini lazima pia umefuata Taratibu za kuingia uwanjani. .especially kufahamu Sheria , Kanuni na Taratibu ili usicheze rafu
 
Yesu Kristo sio mtume wala Nabii. Ni Mungu
Kwenye Yohana 5:30

Yesu anasema;

"Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Mungu, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma."
 
Ni lazima iandikwe Mkuu kwa imani ya kikristo! Huwezi ukajitungia tu Jambo ikasema.ni la kweli kwa Kuwa haikuandikwa katika Biblia!

Kwa imani ya kiislam Mohamed (SWA) kweli alikuwa Mtume, lakini kwa Mkristo hakuna Mtume aliyewahi tokea mwenye ubini au jina hilo. Hapa ndipo tofauti za dini mbili hizi umeanzia!

Ukristo umeanza baada ya Yesu Kufufuka, laiti kama asingefufuka labda ukristo usingekuwepo!

Lakini waislam kupitia kitabu Chao kitakatifu wanamtambua Yesu, Na ameandikwa kwa jina lake! Ndio maana nikakwambia Ukristo upo ndani ya Uislam lakini Uislam haupo ndani ya ukristo!
Je, umewahi kujiuliza, kama Yesu asingekufa msalabani , Je kungekuwa na ukristo?
 
Kwenye Yohana 5:30

Yesu anasema;

"Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Mungu, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma."
Maana yake nini?
 
Hapana siwezi. Wewe ni TheMeek, wewe ni wewe!
I am He Jesus Christ claimed to be! I am not the man of dust. I am the man of Heaven

dd36bbe6ee0573816fa02b2286f8e110.jpg
 
Nakubali %100. Je kama dini hizi ni moja, waislam wanàamini katika hili?
Nipe aya moja tu ya Biblia ambayo Yesu mwenyewe anasema mimi ni Mungu niabuduni.

Hakuna hata aya moja inayo sema hivyo.

Lakini kuna aya nyingi tu za Biblia Yesu anasema "mimi mtu nimetumwa na Mungu wa pekee" .
 
Yesu Kristo sio mtume wala Nabii. Ni Mungu
Nipe aya moja tu ya Biblia ambayo Yesu mwenyewe anasema mimi ni Mungu niabuduni.

Hakuna hata aya moja inayo sema hivyo.

Lakini kuna aya nyingi tu za Biblia Yesu anasema "mimi mtu nimetumwa na Mungu wa pekee" .
 
Mambo ya Mungu sio kama ya Shuleni /Darasani. Huwezi kamwe kufanya RESEARCH then Ukamuelewa Mungu. Hayuko hivyo yeye.

Kaweka wazi kwamba " Ameficha siri zake kwa wenye Hekima na wanaojifunza , na kaziweka wazi kwa watoto wadogo" Je unaelewa maana yake?
Mungu ameshusha vitabu kwa njia ya Mitume ili watu wavisome na kuvifahamu.

Vitabu vya Mungu vipo clear kabisa.

Manabii wa uongo ndio wanapindisha ndimi zao na kudanganya watu, wanaleta uzushi kisha wanasingizia eti uzushi huo umetoka kwa Mungu ili wapate Support na wapate chance za kuwaibia watu kwa njia ya charity za uongo.
 
Nipe aya moja tu ya Biblia ambayo Yesu mwenyewe anasema mimi ni Mungu niabuduni.

Hakuna hata aya moja inayo sema hivyo.

Lakini kuna aya nyingi tu za Biblia Yesu anasema "mimi mtu nimetumwa na Mungu wa pekee" .
Amini nakwambia kweli, ukiielewa siri iliyopo hapa,... Utakuwa umekaribia kuzielewa siri za Mungu.

"Kwanini Biblia nzima hakuna mahala wameandika " Blind Woman" .. Lakini imewataja sana "Blind Men" do you understand the reason?

Na kama huelewi, basi nitajie hatua za kutawadha kabla hujaingia msikitini/ kuswali

Taja kwa mpangilio , kiungo kimoja baada ya kingine; Je unaelewa undani wake? Au hua unanawa tu?

Nakwambia kweli Haya yote yapo kwenye njia ya Msalaba; Hapa mtume Muhammad aliipitia njia ya Msalaba.

Yeye kuwaambia Wafuasi wake wa Uislamu kuwa Yesu Kristo ni Mtume , ni sawa sawa tu na wakati baadhi ya mitume aliokuwa nao Yesu kumuita Nabii, ; wengine walimkana na kumsaliti kabisa licha ya kushuhudia ukuu wa Matendo yake.

Nasubiri jibu...,
 
Maana yake nini?
Nimeandika Kiswahili, sio Kichina bro.

Maana yake ni

Kwenye Yohana 5:30

Yesu anasema;

"Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Mungu, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma."
 
Nimeandika Kiswahili, sio Kichina bro.

Maana yake ni

Kwenye Yohana 5:30

Yesu anasema;

"Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Mungu, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma."
Vijana wengi sana wanapotea kwenye mataifa mengi kwasababu ya uoni hafifu.

Wanaona Kazi sana kufikiria mambo., hivyo wanabaki kuamini katika kila mapokeo bila kuyatafakari. Hii inawafanya kukosa lengo , mantinki au picha kamili iliyomo ndani ya mapokeo hayo.
 
Amini nakwambia kweli, ukiielewa siri iliyopo hapa,... Utakuwa umekaribia kuzielewa siri za Mungu.

"Kwanini Biblia nzima hakuna mahala wameandika " Blind Woman" .. Lakini imewataja sana "Blind Men" do you understand the reason?

Na kama huelewi, basi nitajie hatua za kutawadha kabla hujaingia msikitini/ kuswali

Taja kwa mpangilio , kiungo kimoja baada ya kingine; Je unaelewa undani wake? Au hua unanawa tu?

Nakwambia kweli Haya yote yapo kwenye njia ya Msalaba; Hapa mtume Muhammad aliipitia njia ya Msalaba.

Yeye kuwaambia Wafuasi wake wa Uislamu kuwa Yesu Kristo ni Mtume , ni sawa sawa tu na wakati baadhi ya mitume aliokuwa nao Yesu kumuita Nabii, ; wengine walimkana na kumsaliti kabisa licha ya kushuhudia ukuu wa Matendo yake.

Nasubiri jibu...,
Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Yesu mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na neno lake tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme: Utatu. Komeni! Itakuwa kheri kwenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka Yeye na kuwa na mwana. Ni vyake Yeye vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha. (Quran 4:171)

Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru. (Quran 5:73)

-------------------------------------------

Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi tusimuabudu yeyote ila Mungu..

-----------------------------------------------

Salamu na amani iwe juu ya mwenyekufuata uongofu.

Ndugu zangu wapendwa,

Tafadhali someni aya hizi kisha tafakarini,


Biblia inasema ...wakufahamu wewe ambaye pekee ni Mungu wa kweli,nakumfahamu Yesu Kristo ambaye umemtuma. (Yohana17:3)

Hapa tunaona kwamba Yesu katumwa na Mungu wa Pekee.

Mungu (Mungu ni Mmoja tu, Mungu wa pekee),

soma aya hizi,;

Biblia inasema , Yeye peke yake anaishi milele katika mwanga usioweza kukaribiwa na mtu. Hakuna mtu aliyepata kumwona au awezaye kumwona. Kwake iwe heshima na uwezo wa milele! Amina. (1 Timotheo 6:16)

--------------------------------------------

Quran Inasema, Macho hayamfikilii bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni Mjuzi, Mwenye khabari. (Quran 6:103)

Quran Inasema, Mwenyezi Mungu, hakuna mungu ila Yeye Aliye Hai, Msimamizi wa yote milele. (Quran 3:2)

Quran Inasema, Yeye ndiye anaye kuundeni ndani ya matumbo ya wazazi kwa namna apendayo. Hapana mungu ila Yeye, Mwenye nguvu na Mwenye hikima. (Quran 3:6)

Quran Inasema, Mwenyezi Mungu, na Malaika, na wenye ilimu, wameshuhudia kuwa hakika hapana mungu ila Yeye, ndiye Mwenye kusimamisha uadilifu; hapana mungu ila Yeye Mwenye nguvu na Mwenye hikima. (Quran 3:18)

Quran inasema, Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Mabwana badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudi- eni ya kwamba sisi ni Waislamu. (Quran 3:64)
 
Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Yesu mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na neno lake tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme: Utatu. Komeni! Itakuwa kheri kwenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka Yeye na kuwa na mwana. Ni vyake Yeye vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha. (Quran 4:171)

Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru. (Quran 5:73)

-------------------------------------------

Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi tusimuabudu yeyote ila Mungu..

-----------------------------------------------

Salamu na amani iwe juu ya mwenyekufuata uongofu.

Ndugu zangu wapendwa,

Tafadhali someni aya hizi kisha tafakarini,


Biblia inasema ...wakufahamu wewe ambaye pekee ni Mungu wa kweli,nakumfahamu Yesu Kristo ambaye umemtuma. (Yohana17:3)

Hapa tunaona kwamba Yesu katumwa na Mungu wa Pekee.

Mungu (Mungu ni Mmoja tu, Mungu wa pekee),

soma aya hizi,;

Biblia inasema , Yeye peke yake anaishi milele katika mwanga usioweza kukaribiwa na mtu. Hakuna mtu aliyepata kumwona au awezaye kumwona. Kwake iwe heshima na uwezo wa milele! Amina. (1 Timotheo 6:16)

--------------------------------------------

Quran Inasema, Macho hayamfikilii bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni Mjuzi, Mwenye khabari. (Quran 6:103)

Quran Inasema, Mwenyezi Mungu, hakuna mungu ila Yeye Aliye Hai, Msimamizi wa yote milele. (Quran 3:2)

Quran Inasema, Yeye ndiye anaye kuundeni ndani ya matumbo ya wazazi kwa namna apendayo. Hapana mungu ila Yeye, Mwenye nguvu na Mwenye hikima. (Quran 3:6)

Quran Inasema, Mwenyezi Mungu, na Malaika, na wenye ilimu, wameshuhudia kuwa hakika hapana mungu ila Yeye, ndiye Mwenye kusimamisha uadilifu; hapana mungu ila Yeye Mwenye nguvu na Mwenye hikima. (Quran 3:18)

Quran inasema, Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Mabwana badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudi- eni ya kwamba sisi ni Waislamu. (Quran 3:64)
YESU KRISTO HAKIKA NI MUNGU ; TIZAMA MAFUMBO HAYA HAPA CHINI

#John 14:7 ,"If you really know me, you will know my Father as well. From now on, you do know him and have seen him."

#John 14:9 ,Jesus answered: "Don't you know me, Philip, even after I have been among you such a long time? Anyone who has seen me has seen the Father. How can you say, 'Show us the Father'?
 
Vijana wengi sana wanapotea kwenye mataifa mengi kwasababu ya uoni hafifu.

Wanaona Kazi sana kufikiria mambo., hivyo wanabaki kuamini katika kila mapokeo bila kuyatafakari. Hii inawafanya kukosa lengo , mantinki au picha kamili iliyomo ndani ya mapokeo hayo.
Haya ni maneno ya Yesu mwenyewe (yaani unatwambia tusiamini maneno ya Yesu? Au vipi?)
 
Haya ni maneno ya Yesu mwenyewe (yaani unatwambia tusiamini maneno ya Yesu? Au vipi?)
Hayo ni matamshi ya Yesu Kristo au kwa maana nyingine ni maandiko yake. Muhimu ni kuelewa kilichomo ndani ya matamshi hayo.

Yesu Kristo aliuwawa kwasababu ya watu kukosa Uelewa. Ni sawa na Babu zetu wa zamani walivyokuwa wakitumia almasi pale shinyanga kuchezea bao pasipo kuelewa thamani yake.

Kumbuka Asiyeelewa Maana hana maana. Usiwe kama Magufuli, anatumia msemo " Asiyefanya Kazi na ASILE , au hapa Kazi tu " pasipo hata kuelewa misingi yake.

Hii ni hatari sana kwa Taifa. Ni watu wachache wanaelewa hili.
 
Back
Top Bottom