Man Utd vs Real Madrid - March 05, 2013: Post match feedback

Man Utd vs Real Madrid - March 05, 2013: Post match feedback

Timu dhaifu, Giggs awezi pambana na vijana wa RM, Rooney nje, Nani badala ya Young Ashley n.k. Ni mawazo yangu

They did their BEST tonight, only luck wasn't on our side. GGMU.... Kudos lads
 
splash-live_1685788a.jpg





PA-15971608_1685779a.jpg


IT'S ALL GONE RON ... Cris strikes to KO United



Ron_1685677a.jpg

RON IN A MILLION ... Rafael trying
to get to grips with Real's star man


Nani_1685700a.jpg

NAN ON A MISSION ... Nani has been given
a chance to prove his worth



Van_1685721a.jpg


Judas akijaribu kufurukuta



nani_1685747a.jpg

SERGING AHEAD ... The Portuguese winger celebrates
after Sergio Ramos scored an own goal


Sentoff_1685754a.jpg

SEEING RED ... Nani walks off after
being sent off for a high foot



Mourinho_1685778a.jpg

HELPING HAND ... Jose Mourinho pats
his fellow countryman on the back

Chi nilikwambia kazi uliyonituma sha maliza
khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee






 
Fergie_1685770a.jpg


EAR BASHING ... Fungie tells the fourth official
what he thinks of his colleague's decision

Imekulakwake .. ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
 
They did their BEST tonight, only luck wasn't on our side. GGMU.... Kudos lads

naunga mkono hoja...achana na mashabiki uchwala mkuu....wanaleta mambo ya simba na yanga hapa...
 
Ha ha..no more comments!!

Ukimaliza kuuguza machungu,urudi hapa...ueleze nini ulikuwa udhaifu wa MU katika hii mechi ya leo?

Mimi niliona baada ya bao walilopata,walianza kucheza kujihami, badala ya kuongeza mashambulizi ili kuongeza mabao. Walinzi wa MU badala ya kumvamia na kumpokonya mpira, wao walikuwa wanamsindikiza Modric kwenda kufunga bao.

Hata baada ya wavu kutinga walibakia wamepigwa na butwaa...maruerue hayajaisha wanaona wavu unatinga tena. MU ganzi iliwatoka baada ya bao la pili, lakini ilikuwa too late.

Watu yenu walijitahidi lakini the special one alikuwa mjanja zaidi katika kupoteza wakati...hata hivyo leo RM hawakufanya sana ile janja ya kujiangusha chini ovyo ovyo.

Poleni MU..yaliyopita si ndwele!........
 
Kesho angalieni tena magoli matakatifu yaliyofungwa na Real Madrid siyo ya kuunga na kamba khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom