Japokuwa mimi ni Arsenal damu lakini nachukua nafasi hii kuwapongeza Man U. Hakika wanastahili pongezi.
Pamoja kuwa mpira ni bahati na wakati mwingine huwa tunadai kuwa Man U wanabebwa na referees lakini tu
kubali tukatae Man U ni timu inayojituma sana wawapo uwanjani! Yaani wanacheza kwa jihadi tofauti na timu
yangu Arsenal. Ya kaisali tumpe kaisali kusema kweli Man U ni timu mzuri. Ila timu yangu ya Arsenal ni Mavi matupu.