Mamonita mnaotusumbua sana madarasani

Mamonita mnaotusumbua sana madarasani

Afadhali umekiri umekuja haraka, ningemaanisha huyo ningesema monitress
sasa mamonita ilimekaa kikike kike atleast ungeandika kwa usahihi ningeelewa kwa haraka nanisinge-ufungua huu uzi.
 
Lakin nilichogundua mamonita wengi wana nidham ya woga kwa mwalimu,ndo maana wanaishia kuonea wanafunzi .Wanasahau kama kuna maisha baada ya shule.
Sio tu baada ya shule, mwalimu anaweza akambadilisha, au mwaka ujao tunaweza tukabidilishiwa tukiwa la Nne
 
Mlimpata? Mara anaweza kuwaagiza kumkamata aliekimbia na visheti vya mwalimu
Wapi hatukumuona na matokeo yake sasa ..akaoneka Boya tu..Kwani sisi ni walinzi wa Mbwa ...Tulienda skuli kuangalia mbwa au..
 
Fasihi....... Mwalimu wako wa kiswahili alikiona cha moto
 
Bronze member, hope mawazo yako yatafanyiwa kazi, maana sio lazima kila kitu kieleweke kwa kusoma haraka, vingine vinahitaji kufikiria zaidi
Ok Moderator / Founder wa JF
basi tenga hata majukwaa
  • chekechea
  • Msingi
  • vidato /vyuo
  • wa kawaida
  • magreater
  • makapuku
kwani unaweza maliza bundle kumbe kuna vitoto vimekuibia smartphone
 
Back
Top Bottom