Wana majina mazuri na marefu, Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka ya.. Kimuundo walipaswa wawe na Kurugenzi 2, ya maji safi na ya maji taka.
Hebu angalia mjini kwako, ni watu wangapi wanapata maji safi na wangapi wameunganishwa na mfumo wa maji taka (haswa maji taka)? Wamelala!
Mjini kila nyumba ina shimo la maji taka? Maghorofa? Shule? Hospitali? Hoteli? Kweli? Ukiuliza mipango, hamna?
Hebu angalia bili yako ya mwezi! Hawajajumuisha maji taka?
Gari la maji taka hapo ulipo linadai bei gani? Hii si huduma ilipaswa itolewe na mamlaka husika?
Tuwafanyeje hawa?
Hebu angalia mjini kwako, ni watu wangapi wanapata maji safi na wangapi wameunganishwa na mfumo wa maji taka (haswa maji taka)? Wamelala!
Mjini kila nyumba ina shimo la maji taka? Maghorofa? Shule? Hospitali? Hoteli? Kweli? Ukiuliza mipango, hamna?
Hebu angalia bili yako ya mwezi! Hawajajumuisha maji taka?
Gari la maji taka hapo ulipo linadai bei gani? Hii si huduma ilipaswa itolewe na mamlaka husika?
Tuwafanyeje hawa?