Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA), Kariakoo imewashinda?

Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA), Kariakoo imewashinda?

Badala ya kuulizia inakuaje mtu analazimisha kupitisha makontena bure na hachukuliwi hatua unauliza risiti ya elfu 50, siku na wewe ukimiliki biashara ndio utakua upande wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Narudia tena kuleta huu uzi hapa je TRA eneo la kariakoo limewashinda? Hii tabia ya kiburi ya wafanyabiashara kutoa risiti isiyoendana na mauzo ndio utaratibu mlio uruhusu? Kama mnajifanya hamna habari hivi ni kweli hamna kitengo cha uchunguzi?
Hivi mzigo wa laki tano unapewa risiti ya tsh 50,000 hiyo ni sawa?

Hii tabia inakera sana kwa sisi ambao sehemu nyingine tunalipa kodi kwa uhalali kwa nini wengine wafaidike kwa migongo yetu?

Sent using Jamii Forums mobile app
na wewe fanya biashara ili unufaike na ukwepaji kodi. Jambo la msingi, ni kuwashauri t.r.a. kuwa na kiwango rafiki kwa mfanya biashara ili isiwe kero. Kwa sasa kuna msururu wa kodi hadi kichwa kinauma. Afu mbona wanakueleza wazi kwamba kama hutaki kupewa risiti ya kiwango wanachoona wana uwezo nacho kulipa acha mali. Yani wapo tayari wasiuze kuliko kutoa risiti kamilifu.
 
Mtoa mada naamini sio Mfanyabiashara.

Kwa mfumo wa kodi uliopo sio rafiki m
Kabisa.

Na ukiufuata kwa uzalendo, Utaishia kufilisika.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Narudia tena kuleta huu uzi hapa je TRA eneo la kariakoo limewashinda? Hii tabia ya kiburi ya wafanyabiashara kutoa risiti isiyoendana na mauzo ndio utaratibu mlio uruhusu? Kama mnajifanya hamna habari hivi ni kweli hamna kitengo cha uchunguzi?
Hivi mzigo wa laki tano unapewa risiti ya tsh 50,000 hiyo ni sawa?

Hii tabia inakera sana kwa sisi ambao sehemu nyingine tunalipa kodi kwa uhalali kwa nini wengine wafaidike kwa migongo yetu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaabi unaona uchungu mtu kukwepa kodi ya laki moja wakati kuna watu wanadaiwa kodi ya bilion moja na ushehee na bado wanadunda tu!!

Ungekua na nia ya kuwaambia tra wakusanye kodi basi ungewaambia waanze na ile kule bandarini kwenye nakontena ya bashite!!!

NB: Mimi sichukuagi kabisa risiti, nikienda kwa mangi namwambia kodi akale yeye na mke wake... Bora ale yeye kuliko ikanunue wapinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna tatizo kidogo la ku upload risit huenda ni shida ya network ikikaa sawa mtaziona ziko kama 30 kwa maduka tofauti tofauti na bidhaa tofauti nitaweka na picha za hizo bidhaa.. pia kiwango cha mzigo ulionunuliwa.
Mkijua kukosoa wenzenu nanyi pia muwe tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha upupu wewe mwanamke. Nenda kawaambie tra waanze na bilion ya makonda alafu wakamalizie matrilion ya makinikia... Acha kupoteza mda na hako kakodi kadogo ka buku hamsini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Getrusa sio mfanyabiashara.
Ingia kwenye biashara uone mlomlongo wa kodi ulivyo. usifikrie tu VAT yako. Kuna income tax na makadirio mengine ambayo usipokuwa makini kufilisika ni ndani ya muda mfupi tu.

Karibu kariakoo mama fremu kwa sasa zipo nyingi tu wazi tena bei chee.
UKISTAAJABU YA MUSA.........
 
Write your reply... Mleta mada hongera sana kwa uzalendo wako nikiwa kama mfanyabiashara hapa kariakor nimesikitiswa sana na kitendo hicho,naomba tukutane leo mida ya saa mbili usiku pale mango garden nikupe mbinu zingine za kuwanasa hawa wahujumu uchumi,nitumie namba yako ya simu ili nikifika area nikubip
 
Mlionifuata PM nimewaelewa nimeamua kuondoa zile risit kama mlivyo omba pamoja na yote ni vema tukajifunza uzalendo unaanza na wewe. Usipoona fahari kulitumikia Taifa lako mwenyewe kwa uaminifu unategemea nani afanye?

Endapo hamkuridhika ntarusha tena safari hii mpaka video na picha za risit na hizo bidhaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlionifuata PM nimewaelewa nimeamua kuondoa zile risit kama mlivyo omba pamoja na yote ni vema tukajifunza uzalendo unaanza na wewe. Usipoona fahari kulitumikia Taifa lako mwenyewe kwa uaminifu unategemea nani afanye?

Endapo hamkuridhika ntarusha tena safari hii mpaka video na picha za risit na hizo bidhaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
acha kuwachomea mkuu me mwenyewe huwa nachukua mzigo kariakoo ila risiti sidai,maana kodi inatumika vibaya kama walivyosema wadau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
acha kuwachomea mkuu me mwenyewe huwa nachukua mzigo kariakoo ila risiti sidai,maana kodi inatumika vibaya kama walivyosema wadau

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo ni kasumba tu tuliyolishwa na wanasiasa kwa makusudi yao ya kisiasa, sio kweli kuwa kodi inatumika ndivyo sivyo wengi wanaosema kodi inatumika ndivyo sivyo ndio hao hao wasiolipa kodi na humu Jamii Forum ndio chimbo lao.
Nimezunguka Nchi hii karibu mikoa yote hiyo miundo mbinu inayojengwa ingejengwa vipi kama kodi ingekuwa haitumiki inavyotakiwa?
Na ni kwanini wanaopinga kutoa risit stahiki ni hawa tu wa kariakoo?

Huu ni uzi wangu wa Tatu nazungumzia kariakoo tu, yaani ni wao tu wasio pata faida Nchi nzima?
Mkuu nimekusanya ushahidi wa kutosha kuna watu wakiendelea na malumbano humu, na kashfa zao nitawaumbua na bila shaka watafilisika..
Nilikerwa sana na aliyenirudishia pesa yangu eti kisa nimedai risiti halali kwa pesa niliyotoa, akiniambia

"kimzigo cha laki nane tu nikupe risiti yote kama utaki acha"!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hiyo ni kasumba tu tuliyolishwa na wanasiasa kwa makusudi yao ya kisiasa, sio kweli kuwa kodi inatumika ndivyo sivyo wengi wanaosema kodi inatumika ndivyo sivyo ndio hao hao wasiolipa kodi na humu Jamii Forum ndio chimbo lao.
Nimezunguka Nchi hii karibu mikoa yote hiyo miundo mbinu inayojengwa ingejengwa vipi kama kodi ingekuwa haitumiki inavyotakiwa?
Na ni kwanini wanaopinga kutoa risit stahiki ni hawa tu wa kariakoo?

Huu ni uzi wangu wa Tatu nazungumzia kariakoo tu, yaani ni wao tu wasio pata faida Nchi nzima?
Mkuu nimekusanya ushahidi wa kutosha kuna watu wakiendelea na malumbano humu, na kashfa zao nitawaumbua na bila shaka watafilisika..
Nilikerwa sana na aliyenirudishia pesa yangu eti kisa nimedai risiti halali kwa pesa niliyotoa, akiniambia

"kimzigo cha laki nane tu nikupe risiti yote kama utaki acha"!

Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana mkuu,huyo jamaa alikudharau sana ila me nimeshazoea kutodai risiti maana kila duka huwa hawatoagi risiti machache sana yanatoa na wakikupa kama imefutika hivi kwa hyo me nikaona niachane nazo labda mzigo wanavyoingiza kuna makodi mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Narudia tena kuleta huu uzi hapa je TRA eneo la kariakoo limewashinda? Hii tabia ya kiburi ya wafanyabiashara kutoa risiti isiyoendana na mauzo ndio utaratibu mlio uruhusu? Kama mnajifanya hamna habari hivi ni kweli hamna kitengo cha uchunguzi?
Hivi mzigo wa laki tano unapewa risiti ya tsh 50,000 hiyo ni sawa?

Hii tabia inakera sana kwa sisi ambao sehemu nyingine tunalipa kodi kwa uhalali kwa nini wengine wafaidike kwa migongo yetu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Usipate shida wewe wape dili polisi mbona watashugulikiwa ipasavyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom