Yes, unapunguziwa bei unapewa receipt ya hela ndogo ukitaka upewe receipt ya malipo halali bei inapanda.Kwa uzoefu wangu wa kariakoo.. Huwezi pewa risiti ya nusu bei pasipokua na makubaliano baina ya muuzaji na mnunuaji
Zinanunua vichwa maji wakina WaitaraKodi zetu hazifanyi la maana maana miradi yote mikopo
Natoa wito kwa wengine pia wanaokerwa na tabia hii watupie picha za risiti zao hapa.Acha umbea we fisi
Kama unapenda lipa kodi kafungue duka uone
Wapo wanao kerwa sio majizi kama wewe.Sisi hatukerwi maana hakuna mnachkfanyia kodi zetu
Hili ndilo waziri wa fedha na mkuu wa Nchi wanalopaswa kulifahamu sidhani kama watumishi waaminifu kwenye Taifa hili wameisha.TRA wanajua sema na wao ndo kitega uchumi chao..yaan kariakoo ndo eneo lao la kuhujumu uchumi vizuri...so mbwa hawezi kumla mbwa.
Sio kweli hata kidogo, sio suala la kupunguziana linalosababisha utoaji wa risit pungufu, hii ni hulka na tabia ya watu binafsi wanaoona wakitoa risiti kamili watapata hasara.Yes, unapunguziwa bei unapewa receipt ya hela ndogo ukitaka upewe receipt ya malipo halali bei inapanda.
Mtoa mada anataka kutuharibia tukienda tuuziwe vitu kwa bei kubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ondoeni Wamachinga milangoni mwetu tutoe lisiti halaliNarudia tena kuleta huu uzi hapa je TRA eneo la kariakoo limewashinda? Hii tabia ya kiburi ya wafanyabiashara kutoa risiti isiyoendana na mauzo ndio utaratibu mlio uruhusu? Kama mnajifanya hamna habari hivi ni kweli hamna kitengo cha uchunguzi?
Hivi mzigo wa laki tano unapewa risiti ya tsh 50,000 hiyo ni sawa?
Hii tabia inakera sana kwa sisi ambao sehemu nyingine tunalipa kodi kwa uhalali kwa nini wengine wafaidike kwa migongo yetu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamekusikia mkuu. Hiyo pia ni kero kubwa nyingine katika Nchi hiiOndoeni Wamachinga milangoni mwetu tutoe lisiti halali
kunywa moja moto moja baridi mkuu nitalipa hili jingaa halijuwi kuwa halina ushahidi apo lilipo !Acha vitisho na uzwazwa mburula,Kodi zenyewe ndizo hizi zinaenda kuwalipa Wanaume wa ACACIA na kununua wapinzani? Anza kudai Kodi za makontena ya Bashite kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ata iyo biashara yake binafsi akitoa atowe risiti maana huwa anapokea hela !Acha umbea we fisi
Kama unapenda lipa kodi kafungue duka uone
Usijali ni suala la muda tuIngependeza zaidi ungeleta mifano na majina ya maduka pia..
Unaongelea wachina na wahindi wa wapi wewe.!Sio kweli hata kidogo, sio suala la kupunguziana linalosababisha utoaji wa risit pungufu, hii ni hulka na tabia ya watu binafsi wanaoona wakitoa risiti kamili watapata hasara.
Mbona michezo hii haichezwi na wahindi ama wageni walio na biashara kwenye Nchi yetu? Hata hapo hapo kariakoo, shida iko zaidi kwenye maduka ya wakinga na Wachaga mna matatizo gani?..
Sent using Jamii Forums mobile app