getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,824
Narudia tena kuleta huu uzi hapa je TRA eneo la kariakoo limewashinda? Hii tabia ya kiburi ya wafanyabiashara kutoa risiti isiyoendana na mauzo ndio utaratibu mlio uruhusu?
Kama mnajifanya hamna habari hivi ni kweli hamna kitengo cha uchunguzi?
Hivi mzigo wa laki tano unapewa risiti ya tsh 50,000 hiyo ni sawa?
Hii tabia inakera sana kwa sisi ambao sehemu nyingine tunalipa kodi kwa uhalali kwa nini wengine wafaidike kwa migongo yetu?
Kama mnajifanya hamna habari hivi ni kweli hamna kitengo cha uchunguzi?
Hivi mzigo wa laki tano unapewa risiti ya tsh 50,000 hiyo ni sawa?
Hii tabia inakera sana kwa sisi ambao sehemu nyingine tunalipa kodi kwa uhalali kwa nini wengine wafaidike kwa migongo yetu?
