Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Leo tarehe 17, wiki mbili tangu kuanza kwa mwezi huu wa oktoba ambapo TMA walitabiri zingenyesha El Nino. Hakuna El Ninyo, japo manyunyu.
Sisemi haya kumaanisha natamani El Nino, la hasha. Hapa ninahoji uwezo wa hii Mamlaka ya hewa kama wanazo nyenzo na maarifa kamili ya kuweza kutupatia weather updates. Kuna haja ya kuhoji maana hawa wanaonesha udhaifu ambao kwa kweli ipo siku watakuja kusema hali ya hewa ni shwari hafu maafa yakatokea.
Ndiyo nahoji, mbona Wamarekani wanakuwa wanatabiri kutakuwa na kimbunga na kunakuwa na kimbunga kweli? Afu watu hawahawa wanakula hela za kodi zetu kama mishahara kwa kwa utabiri wa kienyeji namna hii.
Ndo sababu nahoji kama hii ya kwetu ni Mamlaka ya Hali ya Hewa au Mamlaka ya Hali ya Hela.
Sisemi haya kumaanisha natamani El Nino, la hasha. Hapa ninahoji uwezo wa hii Mamlaka ya hewa kama wanazo nyenzo na maarifa kamili ya kuweza kutupatia weather updates. Kuna haja ya kuhoji maana hawa wanaonesha udhaifu ambao kwa kweli ipo siku watakuja kusema hali ya hewa ni shwari hafu maafa yakatokea.
Ndiyo nahoji, mbona Wamarekani wanakuwa wanatabiri kutakuwa na kimbunga na kunakuwa na kimbunga kweli? Afu watu hawahawa wanakula hela za kodi zetu kama mishahara kwa kwa utabiri wa kienyeji namna hii.
Ndo sababu nahoji kama hii ya kwetu ni Mamlaka ya Hali ya Hewa au Mamlaka ya Hali ya Hela.