Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msisingizie Wapiga Dili....Propaganda at work,Tatizo uchumi ulishikiliwa na wapiga deal wachache
Nchi ni yetu sote tukae pamoja tushirikiane.Mbona Serikali yenyewe inafukuza Watu ... Mara Wanafunzi UDOM...mara Majipu...
Mpaka watu watakapobuni njia za wizi ndipo serikali itatia adabu
Hii ni habari kuu katika gazeti la Nipashe la siku ya leo.
Habari inasema baadhi ya vituo mauzo yashuka kwa asilimia 50 na baadhi ya vituo vinapigwa bei.
Chanzo:Nipashe
Hali ikiendelea hivi katika kila sekta,sijui serikali itakusanya wapi kodi ya kwenda kuhifadhiwa BOT kupitia account za taasisi na mashirika mbalimbali ya umma.
Hii ni habari kuu katika gazeti la Nipashe la siku ya leo.
Habari inasema baadhi ya vituo mauzo yashuka kwa asilimia 50 na baadhi ya vituo vinapigwa bei.
Chanzo:Nipashe
Hali ikiendelea hivi katika kila sekta,sijui serikali itakusanya wapi kodi ya kwenda kuhifadhiwa BOT kupitia account za taasisi na mashirika mbalimbali ya umma.
Watu sasa hivi wanajua thamani ya kura zao sema baada ya kupiga kura, uhalifu dhidi ya kura zao halali unafanyika. Mfano kule kwenye visiwa wapiga kura walishaamua nani awe rais wao lakini unajua yaliyotokea. Sasa hapo utalaumu wapiga kura? Na huku kwetu si unajua nini kilichotokea? Mpaka ikabidi yule nabii aitwe kusaidia kutuliza hasira katika kile walichoita "peace building visit" Na unajua alitumia muda mwingi kuongea na kumpoza white hair naye kwa busara kubwa akaamua kunyamaza na kumwachia Mungu. Wapiga kura wa sasa wameelimika sana na wanajua thamani ya kura zao tatizo ni kuchezewa kwa kura zao na watu wachcheWacha watu wajifunze kujua thamani ya kura zao.
Mchawi ni wewe na mashetani wenzako wa Lumumba, suala nyeti la kuporomoka Kwa uchumi Wa nchi unataka kuleta siasa? CCM ni kitu gani, ni dubwasha gani mbele ya maslahi mapana ya taifa?Kundi la wachawi kila siku ni kupiga ramli.
Hii ni habari kuu katika gazeti la Nipashe la siku ya leo.
Habari inasema baadhi ya vituo mauzo yashuka kwa asilimia 50 na baadhi ya vituo vinapigwa bei.
Vinapopigwa Bei si vinanunuliwa? au wanaonunua wanafugia kuku?
Chanzo:Nipashe
Hali ikiendelea hivi katika kila sekta,sijui serikali itakusanya wapi kodi ya kwenda kuhifadhiwa BOT kupitia account za taasisi na mashirika mbalimbali ya umma.
"MAGUFULI AMPA LIFTI GARI LAKE MAKONDA" ?? Mbona sijaelewa hiyo statement [HASHTAG]#Makanjanja[/HASHTAG]
ina maana haya magari yaliyoko barabarani yanatumia maji?Hii ni habari kuu katika gazeti la Nipashe la siku ya leo.
Habari inasema baadhi ya vituo mauzo yashuka kwa asilimia 50 na baadhi ya vituo vinapigwa bei.
Chanzo:Nipashe
Hali ikiendelea hivi katika kila sekta,sijui serikali itakusanya wapi kodi ya kwenda kuhifadhiwa BOT kupitia account za taasisi na mashirika mbalimbali ya umma.
Na wewe Tutolee upuzi wako hapa, unajifanya Unajua uchumi kuliko wenzako?Kila mtu anaongelea uchumi hata maana ya uchumi hawajui wanafikiria uchumi ni kuwa na mapesa mifukoni ,Pesa zikizidi mifukoni ni tatizo pia,Sio kila mtu mchumi